President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Ndugu Tsh 150,000 ni ndogo sana. Kwetu sisi tunaopiga route kwa kuendesha gari from Dar to Dodoma ni kawaida sana.iko juu sana kwa mtanzania bro, siku zote ukitaka kujua neema za MUNGU muangalia mtu alie chini yako, ifike hatua hii nchi itazame wanyonge 150k kaka dar dom its a lot unless tuambiwe kua mchongoko ni kwa ajili ya matajiri tu then its ok .....
tumeambiwa kua umeme unaotumika ni just 10% ya ghrama from 40% ya diesel so inakuaje bei zinatisha namna hiii, tusijiangalie sisi labda tuna uwezo je mtanzania wa hali ya chini atanufaika vp na usafiri huo
Mfano mimi huwa najaza Full Tank kutoka Dar kwenda dodoma Liter 60. Ninafika dodoma Mafuta yameisha.
So piga hesabu mafuta Liter 60x 3,000 = Tsh 180,000. Plus umechoka umefanyia gari service. Guys hebu tuache ulalamishi ambao hauna tija. Mimi mwenyewe nitaacha kweda Dodoma na Gari.
I will be using Royal.