Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi estate za estlands ziko na zaidi ya 3000km za paved roads.
Hizo roads zenyewe sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
1729232079147.jpg
Screenshot_20241016-165928~2.png
Screenshot_20240903-235824~2.png
 
Wewe mbuzi,hapo Juu umesoma ni list ya Mikoa ya Kundustan au? Si umenikoti Kwa hiyo post , unadhani hiyo Mikoa imeunganishwa? Kwamba ukitoka Songea unaenda Dar mpaka upite Iringa au Lindi wakati Kuna Barabara hapo ifakara imejaa mavumbi?

Kwamba ukitoka Mbeya/Tunduma unaenda Mwanza lazima uzunguke Iringa na Dom wakati Kuna Barabara hapo imejaa mavumbi.

Mwisho ni upuuzi kujenga reli Kwa Matrilioni wakati miundombinu ya msingi kama Barabara inavyotakiwa kufungua uchumi wa kulisha hiyo reli hujaijenga.
VIP si mlikuwa mnataka muinguanishe na EPC plus F sijui waziri wako wa fedha wa awamu hii na waziri wa uchukuzi si walidai itaanza ?
 
Hili dude lina taa kweli hapo mbele 😂😂😂😂😂

View attachment 3131169
Oyaaa mwanangu una macho kuliko macho yenyewe, ebhn ndio naangalia hapa hili dude halina taa na linakatiza CBD bila tabu yoyote aisee, Tanzania hata nje kwako hupaswi kuliweka unakamatwa, lkn Kenya ndiyo their best public transport 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Screenshot_20241018-114154~2.png
 
Niliwahi sema kuwa Kenya kazi yao kubwa na kuzisema vibaya nchi jirani kwenye internet...

Yaani vita kubwa ya kuichafua Tanzania inayoendelea huko kwenye mitandao inayofanya na uninformed and Arrogant kenyans imevuka mipaka.
Anything about Tanzania...wao kazi yao ni kusema mabaya tu mengine ni uongo, mengine ni makosa yao...

Nadhani ndo maana Mungu anazidi kuwapunish na matatizo yasiyoisha huko Kenya. Negative energy inawarudia indirectly
View attachment 3130988
Customs Wao hawachukui rushwa!
 
Oyaaa mwanangu una macho kuliko macho yenyewe, ebhn ndio naangalia hapa hili dude halina taa na linakatiza CBD bila tabu yoyote aisee, Tanzania hata nje kwako hupaswi kuliweka unakamatwa, lkn Kenya ndiyo their best public transport 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 View attachment 3131215
Embu watuambie hili kopo ni brand gani? Maana za wenzetu kuna brand kama Scania Marcopolo, Irizar etc hii body inaitwaje? 😁
 
Back
Top Bottom