Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Jifundishe kutoka msituni pia wewe baboon.Nje ya mji mean far from the city center (hiyo ndio maana ya nje ya mji) nafundisha kiswahili online 😂😂
Jifundishe kutoka msituni pia wewe baboon.Nje ya mji mean far from the city center (hiyo ndio maana ya nje ya mji) nafundisha kiswahili online 😂😂
Huyo jamaa hana elimu usihangaike na yeye. Jana nilimwambia atuonyeshe hata Cheti chake cha primary school akashindwa. He is illiterate.Mji = City
Wacha upumbavu
Mombasa 1.8MData za airport tuu kwenye hiyo category zinatosha.
Ebu Leta picha tuzione. The last time I checked those vehicles were all diesel.najaribu kuwakumbusha tu😂😂😂
gari nyingi sana za kitalii tanzania ni za umeme kama unabisha sema 😂😂😂
Wewe ni kabila gani hapo Kenya ili nijue umefafa na sokwe yupi maana Kenya wote ni masokwe ukiacha wasomali
Salsa wewe kunguni unasema nini? Remember no Kenyan looks like this your brother who resembles baboon.Wewe ni kabila gani hapo Kenya ili nijue umefafa na sokwe yupi maana Kenya wote ni masokwe ukiacha wasomali
Upuuzi mtupu kutoka kwa mzungu feki😁Nani kasema Kiswahili ni kiarabu wee mgonjwa? Kiswahili ni Kingozi kutoka Lamu.
Nchi zote zilizotawaliwa na muingereza zinarudi nyuma Kwa kudanganywa kuwa Wana maendeleo Kwa kuongea kingereza na kuwapa data za kuwafariji kuwa wako juu. Kenya, South Africa, Zimbabwe, Malawi wanaoorokoma Kila kuchao.And Africa’s leading loss making airline! Ni upumbavu wa Hali ya juu kudiriki kuiweka Kenya airways mbele ya Ethiopian Airlines!
haya sehemu ya uwanja ambayo Teargas hajawaonesha 😂😂😂🙌🏻🙌🏻
View: https://x.com/ntvkenya/status/1847916869367267730?s=46
Piga tu kelele hapa na tunawarape tena😂😂😂
View: https://x.com/Cecafaonline/status/1847989149912936527