Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo connection ya ruvuma Zambia inatoka wapi mfano.
Sio Kila sehem inafaa kujengwa barabara lazima uangalie economic viability ,mfano hiyo border ya Malawi - songwe unazungumzia kujenga border post nyingine wakati hata Ile ya kasumulu Bado haijawa viable zaid ukijenga he huo upande wa pili watajenga ili iweze lipa au ni kujenga tu ili mradi kuwepo na barabara?
Inawezekana wewe unaangalia ili mradi kujenga tu bila kuangalia economic viability na ndio maana huwezi kuona umuhimu wa reli katika kukuza uchumi.
Kujenga kwa viapnde kunaendana na budget na matarajio , huwezi kwenda kukopa USD 10bil Leo eti unafanya maboresho ya barabara ambazo kwa Sasa hata ukiziangalia hakuna economic viability.
Yaan unataka Leo tukope letsay USD 1.bil kujenga barabara ya mbeya - tabora - mwanza ambayo kwa wastan hakuna viable economic activity ya kuweza kurejesha madeni na tuache kujenga reli kwenda kigoma na Burundi na rwanda ambako tayari Kuna mzigo wa nickel, cobalt na madini mzigo wa bandari ambayo inaweza kurejesha fedha zetu mapema?
Kujenga kwa vipande ni kwasababu Bado hatujawa na uwezo wa Kuanzisha ujenzi wa km hizo kwa pamoja na kwa sababu hakuna viability yoyote.
Hivi ule mpango uliozinduliwa wa ujenzi barabara karibu km 2100, kuna iliyokuwa inaanzia Handeni kwenda mpaka Singida nyingine ilianzia Arsha mpaka Dom, kuna iliyoanzia Ifakara kwenda kusini zilikuwa nyingi.Mbona hatusikii maendeleo yake.
 
Niliacha kupost picha za Nairobi estates coz ya shughuli mingi za kikazi. Leo nimeleta picha za collection of different Nairobi estates located across different roads, e.g., Thika Superhighway, Outering Road, and Mombasa Road. Some of the estates captured here include Kasarani, Roysambu, Kariobangi, Donholm, Umoja, and Buruburu.

Kesho nitaleta picha za South B estate.

Dar slums itafika mahali Nairobi ipo in 2024 kitu 2060. At least 30 years from now.
View attachment 3130791View attachment 3130793View attachment 3130794View attachment 3130795View attachment 3130796View attachment 3130797View attachment 3130798View attachment 3130799View attachment 3130800View attachment 3130801View attachment 3130802View attachment 3130803View attachment 3130804View attachment 3130805View attachment 3130806View attachment 3130807View attachment 3130808View attachment 3130809View attachment 3130810View attachment 3130811View attachment 3130812View attachment 3130813View attachment 3130815View attachment 3130816
Huyu naye wa wapi huyu, yupo thread namba ngp, au ndio kwanza yupo thread namba 10, mwaka 2017. Anabishana na @annael muanzisha uzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Au katumwa aje kuharibu mada matokeo btw football nation na non football country 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nairobi is beautiful 😍 😍😍

1729436114259.jpeg

1729436153450.jpeg
 
Sisi tuliwaambia mapema kwamba Tanzania ni football nation hatujui michezo mingine zaidi ya football na muziki, hatuna haja na michezo mingine ya kimaskini. Mtu unakimbia kilometa 10,000 alafu unapewa $2000 mshahara wa wiki moja wa mchezaji mdogo anayecheza ligi kuu Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Leo kiwete kamebahati kushinda mechi, kanapiga kelele kweli kweli😂😂🤣.

Since 2000 leo ndio siku ya kwanza timu ya Tanzania imeshinda ya Kenya.
 
Sisi tuliwaambia mapema kwamba Tanzania ni football nation hatujui michezo mingine zaidi ya football na muziki, hatuna haja na michezo mingine ya kimaskini. Mtu unakimbia kilometa 10,000 alafu unapewa $2000 mshahara wa wiki moja wa mchezaji mdogo anayecheza ligi kuu Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
alaf yanakimbia ovyo utasema wanadaiwa na mikopo kausha damu 😂😂
 
Back
Top Bottom