Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Niliwahi sema kuwa Kenya kazi yao kubwa na kuzisema vibaya nchi jirani kwenye internet...

Yaani vita kubwa ya kuichafua Tanzania inayoendelea huko kwenye mitandao inayofanya na uninformed and Arrogant kenyans imevuka mipaka.
Anything about Tanzania...wao kazi yao ni kusema mabaya tu mengine ni uongo, mengine ni makosa yao...

Nadhani ndo maana Mungu anazidi kuwapunish na matatizo yasiyoisha huko Kenya. Negative energy inawarudia indirectly
Screenshot_20241020-201946~2.png
 
Wewe ndio mjinga kubisha usivyovijua. Ukiwa CBD una access ya Dar Port vizuri kabisa. Eti imeshikana na CBD wewe labda utuambie Kibera na CBD yenu ila CBD yetu hujui chochote zaidi ya hizo picha zako za Google.
Ukiona Mtanzania ameanza kutajataja Kibera ovyo ovyo jua ameishiwa na hoja. You guys can't debate a fly if your lives depended on it. 🚮🚮🚮
 
Niliwahi sema kuwa Kenya kazi yao kubwa na kuzisema vibaya nchi jirani kwenye internet...

Yaani vita kubwa ya kuichafua Tanzania inayoendelea huko kwenye mitandao inayofanya na uninformed and Arrogant kenyans imevuka mipaka.
Anything about Tanzania...wao kazi yao ni kusema mabaya tu mengine ni uongo, mengine ni makosa yao...

Nadhani ndo maana Mungu anazidi kuwapunish na matatizo yasiyoisha huko Kenya. Negative energy inawarudia indirectly
View attachment 3130988
Mnapost humu video nyingi Wakenya wakisema Tanzania in a positive light ila mmoja akiongea kinachomuudhi kuhusu Tanzania inakua vita.....eti ooh wanaichafua Tanzania ooh wanazisema vibaya nchi zingine. Yani inferiority complex haitowai mtoka nyinyi wavumbistan.
 
Muache alete vipicha vyake vya Google wakati watu tunaingia bandarini kupitia hapo Posta halafu tunatokea Kurasini bila kutumia public road.
Kwa hivo ukiingia bandarini kutoka posta hiyo ni proof SGR station iko CBD? Akili gani hii. 😂 😂
 
Niliacha kupost picha za Nairobi estates coz ya shughuli mingi za kikazi. Leo nimeleta picha za collection of different Nairobi estates located across different roads, e.g., Thika Superhighway, Outering Road, and Mombasa Road. Some of the estates captured here include Kasarani, Roysambu, Kariobangi, Donholm, Umoja, and Buruburu.

Kesho nitaleta picha za South B estate.

Dar slums itafika mahali Nairobi ipo in 2024 kitu 2060. At least 30 years from now.
View attachment 3130791View attachment 3130793View attachment 3130794View attachment 3130795View attachment 3130796View attachment 3130797View attachment 3130798View attachment 3130799View attachment 3130800View attachment 3130801View attachment 3130802View attachment 3130803View attachment 3130804View attachment 3130805View attachment 3130806View attachment 3130807View attachment 3130808View attachment 3130809View attachment 3130810View attachment 3130811View attachment 3130812View attachment 3130813View attachment 3130815View attachment 3130816
Hizi estate za estlands ziko na zaidi ya 3000km za paved roads.
 
Ukiona Mtanzania ameanza kutajataja Kibera ovyo ovyo jua ameishiwa na hoja. You guys can't debate a fly if your lives depended on it. 🚮🚮🚮
Mkenya ukimtajia kibera unamuumiza kweli kweli, anatamani aamke akute kibera haipo on map, tatizo ni kwamba wanajaribu kujiongopea kwamba watu wanadhani slum Kenya ni moja tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sio mfupi ni mtoto wa 17yrs.
Si kama wenu wazee wa 28 ati under 20.
Uzuri hawawezi pita lab test za Afcon.
Huyu jamaa huwa na hasira kweli kweli, eti analinganisha umri wa wachezaji wa Tanzania na Kenya wakati wakenya wanaonekana ni wazee kabisaa, FYI hakuna dogo Kenya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom