Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuwaulize nyie wazee wa Sgr in what sense mlipuuza uchumi wa Mikoa hiyo Kwa kupoteza hela Kwa miradi ya cosmetic kama Sgr,Kigongo Busisi,ndege nk.

Mikoa ifuatayo haijaunganishwa na Lami.👇👇

1.Mbeya-Singida
2.Mbeya-Tabora
3.Katavi-Rukwa
4.Songwe-Malawi
5.Rukwa-Zambia
6.Ruvuma-Morogoro
7.Ruvuma-Malawi
8.Kigoma-Katavi
10.Kigoma-Tabora
10.Kigoma-Kagera
11.Arusha-Mara
12.Manyara-Tanga
13.Manyara-Simiyu
14.Shinyanga-Simiyu
15.Njombe-Morogoro
16.Lindi-Morogoro
17.Mtwara-Iringa via Lindi & Moro
18.Tanga-Manyara
19.Kilimanjaro -Manyara
20.Tanga-Morogoro


Kiufupi hapo nimekuhurumia tuu ila list ni ndefu sana na hapo sijataja Barabara muhimu sana ambazo zinatumiwa na watu wengi kuliko zili ambazo zimeunganisha Mikoa Kwa Sasa eg
Masasi-Mtwara via Tandahimba
Mbeya-Katavi via Mlowo-Majimoto
Njombe-MbambaBay
Mbeya-Njombe via Makete
Arusha-Dodoma via Simanjiro
Mpanda-Tabora via Kaliua(Shorter distance kuliko ya Mpanda-inyonga-Tabora).nk nk

Mwisho narudia tena watu wanataka Barabara na sio ma reli yenu hayo
👇👇View attachment 3129385
Kwamba Kigogo Busis ni mradi cosmetic?

Huna akili.
 
Tuwaulize nyie wazee wa Sgr in what sense mlipuuza uchumi wa Mikoa hiyo Kwa kupoteza hela Kwa miradi ya cosmetic kama Sgr,Kigongo Busisi,ndege nk.

Mikoa ifuatayo haijaunganishwa na Lami.👇👇

1.Mbeya-Singida
2.Mbeya-Tabora
3.Katavi-Rukwa
4.Songwe-Malawi
5.Rukwa-Zambia
6.Ruvuma-Morogoro
7.Ruvuma-Malawi
8.Kigoma-Katavi
10.Kigoma-Tabora
10.Kigoma-Kagera
11.Arusha-Mara
12.Manyara-Tanga
13.Manyara-Simiyu
14.Shinyanga-Arusha
15.Njombe-Morogoro
16.Lindi-Morogoro
17.Mtwara-Iringa via Lindi & Moro
18.Tanga-Manyara
19.Kilimanjaro -Manyara
20.Tanga-Morogoro
21.Simiyu-Arusha.


Kiufupi hapo nimekuhurumia tuu ila list ni ndefu sana na hapo sijataja Barabara muhimu sana ambazo zinatumiwa na watu wengi kuliko zili ambazo zimeunganisha Mikoa Kwa Sasa eg
Masasi-Mtwara via Tandahimba
Mbeya-Katavi via Mlowo-Majimoto
Njombe-MbambaBay
Mbeya-Njombe via Makete
Arusha-Dodoma via Simanjiro
Mpanda-Tabora via Kaliua(Shorter distance kuliko ya Mpanda-inyonga-Tabora).nk nk

Mwisho narudia tena watu wanataka Barabara na sio ma reli yenu hayo
👇👇View attachment 3129385
Kilimanjaro-Manyara haijaunganishwa Ile Njia ya Moshi-Arusha-Dodoma?
 
Kwamba Kigogo Busis ni mradi cosmetic?

Huna akili.
Ndio Kwa sababu bln 716 ingetosha kujenga km zaidi ya 500 zinatosha Kuunga uchumi wa Mikoa 3 au zaidi kitu ambacho ni more economical than kutumia tuu hapo Kigongo-Busisi 😁😁
 
Ndio Kwa sababu bln 716 ingetosha kujenga km zaidi ya 500 zinatosha Kuunga uchumi wa Mikoa 3 au zaidi kitu ambacho ni more economical than kutumia tuu hapo Kigongo-Busisi 😁😁
Ivi kuna mikoa haifikiki kwa lami au upo unatupigia kelele, na vipaumbele uchwara eti barabara?

Mwambie Samia aachane nayo basi akajenge hizo barabara.

Eti kuunganisha uchumi what irony wakati Kigogo Busisi iko more economic viable kuliko huo upuuzi uliotaja.

Mikoa ipi haifikiki na Lami itaje? Unless unataka serikali itumie pesa kujenga barabara za vijiji.
 
Kilimanjaro-Manyara haikaunganishwa Ile Njia ya Moshi-Arusha-Dodoma?
Kuna njia ya Kuunga directly bila kuzunguka huko.

In fact kitu ambacho wengi hamjui ni kwamba Barabara za Tanzania zimezunguka weeee bila sababu za msingi ndio maana mnasema zimeungana.

Nikuulize wewe unadhani Barabara ya Mpanda-Kaliua-Kahama ingekuwa na Lami Kuna mtu angepita huko mlikojenga ya Sasa? Maana ni ndefu Kwa over 200km

Pia Kuna Barabara ya kutoka Mlowo(Songwe) Hadi Mpanda via Majimoto huko Bonde la Rukwa ni more economical kuliko hii ya Kupitia Sumbawanga.

Mwisho jengeni Barabara,Leo hii Tanzam inasomeka Iko busy Kwa sababu Barabara rundo hazipotiki Ili upate relief.
 
Ivi kuna mikoa haifikiki kwa lami au upo unatupigia kelele, na vipaumbele uchwara eti barabara?

Mwambie Samia aachane nayo basi akajenge hizo barabara.

Eti kuunganisha uchumi what irony wakati Kigogo Busisi iko more economic viable kuliko huo upuuzi uliotaja.

Mikoa ipi haifikiki na Lami itaje? Unless unataka serikali itumie pesa kujenga barabara za vijiji.
Wewe mbuzi,hapo Juu umesoma ni list ya Mikoa ya Kundustan au? Si umenikoti Kwa hiyo post , unadhani hiyo Mikoa imeunganishwa? Kwamba ukitoka Songea unaenda Dar mpaka upite Iringa au Lindi wakati Kuna Barabara hapo ifakara imejaa mavumbi?

Kwamba ukitoka Mbeya/Tunduma unaenda Mwanza lazima uzunguke Iringa na Dom wakati Kuna Barabara hapo imejaa mavumbi.

Mwisho ni upuuzi kujenga reli Kwa Matrilioni wakati miundombinu ya msingi kama Barabara inavyotakiwa kufungua uchumi wa kulisha hiyo reli hujaijenga.
 
Naona unaanza kunielewa. Halafu naona kapata mwenzie nae soon natupa kwenye dust bin.
Wanaropoka kinoma. Alafu hiyo ya kutupa kwenye dust bin mm mwenyewe nmeanza kuitumia now, yn ukiingia jf unakuta jitu linaropoka tu mpaka unaona uvivu kuendelea kuperuzi, ss kwa nn ujipe shida, tupa kwenye shimo la taka maisha yaendelee.
 
Sema wewe hater ndio hujui vipaombele vya SSH ndio maana unaongea ujinga wa miradi ya Jiwe,humu jf Kila siku Huwa mna post miradi ya Jiwe?Anaenda na upepo gani? Hii ni miradi ya Jiwe? 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DBPOGibOWJM/?igsh=aHJzMGF3Ymoyd2Iy

Eti ametoa bilioni 15 ,
It’s okay anyway sina sababu yotote ya kuwa hâter wa mama. Ni vile tu tunaongea ukweli kuwa nafasi aliyonanyo ni kubwa kuliko uwezo wake. That’s it . Nothing personal mate.
Mradi wa B15 unauleta hapa hii ni miradi ya individuals .
and of course ni Miradi ya Jiwe ndio ccm wataitumia kwenye campaigns za 2025 .
Hata barabara ya kimara-kibaha wameshindwa kuimaliza 5 years down kitu gani wataweza hawa ?
 
Tuwaulize nyie wazee wa Sgr in what sense mlipuuza uchumi wa Mikoa hiyo Kwa kupoteza hela Kwa miradi ya cosmetic kama Sgr,Kigongo Busisi,ndege nk.

Mikoa ifuatayo haijaunganishwa na Lami.👇👇

1.Mbeya-Singida
2.Mbeya-Tabora
3.Katavi-Rukwa
4.Songwe-Malawi
5.Rukwa-Zambia
6.Ruvuma-Morogoro
7.Ruvuma-Malawi
8.Kigoma-Katavi
10.Kigoma-Tabora
10.Kigoma-Kagera
11.Arusha-Mara
12.Manyara-Tanga
13.Manyara-Simiyu
14.Shinyanga-Arusha
15.Njombe-Morogoro
16.Lindi-Morogoro
17.Mtwara-Iringa via Lindi & Moro
18.Tanga-Manyara
19.Kilimanjaro -Manyara
20.Tanga-Morogoro
21.Simiyu-Arusha.


Kiufupi hapo nimekuhurumia tuu ila list ni ndefu sana na hapo sijataja Barabara muhimu sana ambazo zinatumiwa na watu wengi kuliko zili ambazo zimeunganisha Mikoa Kwa Sasa eg
Masasi-Mtwara via Tandahimba
Mbeya-Katavi via Mlowo-Majimoto
Njombe-MbambaBay
Mbeya-Njombe via Makete
Masasi-Ruangwa-Liwale
Liwale-Kilwa
Arusha-Dodoma via Simanjiro
Mpanda-Tabora via Kaliua(Shorter distance kuliko ya Mpanda-inyonga-Tabora).nk nk

Mwisho narudia tena watu wanataka Barabara na sio ma reli yenu hayo
👇👇
View attachment 3129398View attachment 3129385
utterly nonsense,
Kwamba hakuna barabara ya lami Njombe hadi Morogoro ?
Unless utwambie what business sense (Volume of Business) itajustify kuwekeza bilions of money kwa direct link ya njombe ifakara kama kipaumbele. Otherwise you sound Irrelevant mate.
 
Tuwaulize nyie wazee wa Sgr in what sense mlipuuza uchumi wa Mikoa hiyo Kwa kupoteza hela Kwa miradi ya cosmetic kama Sgr,Kigongo Busisi,ndege nk.

Mikoa ifuatayo haijaunganishwa na Lami.👇👇

1.Mbeya-Singida
2.Mbeya-Tabora
3.Katavi-Rukwa
4.Songwe-Malawi
5.Rukwa-Zambia
6.Ruvuma-Morogoro
7.Ruvuma-Malawi
8.Kigoma-Katavi
10.Kigoma-Tabora
10.Kigoma-Kagera
11.Arusha-Mara
12.Manyara-Tanga
13.Manyara-Simiyu
14.Shinyanga-Arusha
15.Njombe-Morogoro
16.Lindi-Morogoro
17.Mtwara-Iringa via Lindi & Moro
18.Tanga-Manyara
19.Kilimanjaro -Manyara
20.Tanga-Morogoro
21.Simiyu-Arusha.


Kiufupi hapo nimekuhurumia tuu ila list ni ndefu sana na hapo sijataja Barabara muhimu sana ambazo zinatumiwa na watu wengi kuliko zili ambazo zimeunganisha Mikoa Kwa Sasa eg
Masasi-Mtwara via Tandahimba
Mbeya-Katavi via Mlowo-Majimoto
Njombe-MbambaBay
Mbeya-Njombe via Makete
Masasi-Ruangwa-Liwale
Liwale-Kilwa
Arusha-Dodoma via Simanjiro
Mpanda-Tabora via Kaliua(Shorter distance kuliko ya Mpanda-inyonga-Tabora).nk nk

Mwisho narudia tena watu wanataka Barabara na sio ma reli yenu hayo
👇👇
View attachment 3129398View attachment 3129385
1729315354318.png

Kuna mambo mengine unapinga hayana logic.
Sasa hiyo hivi unajengaje barabara ya ruvuma - Zambia na Malawi wakati zimepakana na ziwa Nyasa au Inamaanisha daraja kuvuka zaid ya km 50 ndani ya maji. Kuna Hela ya kujenga daraja kwa zaid km 50 na gharama yake siitaizid reli.
Connection ya shinyanga - Arusha inatoka wapi wakati zimetenganishwa na simiyu.
Bukoba -kigoma SI Iko katika ujenzi kupitia nyakanazi
Hapa ni mada ya mikoa ambayo haijaunganishwa na hakuna ujenzi unaondelea, lakini umeorodhesha barabara ambazo nyingi ziko katika ujenzi mfano wa hizo barabara ni
Masasi ruangwa-liwale infact ni masasi - nachingwea - liwale ruangwa
Masasi- newala- tandahimba zote ziko katika ujenzi
Kuna barabara nyingine hakuna hata logic ya kujenga mfano
Lindi - ruvuma wakati Kuna barabara ya mtwara- Lindi - masasi- tunduru - namtumbo - songea na Bado Kuna shortcut Iko inajengwa ya kupitia tandahimba.

Hiii ya mtwara- songea zaid ya makaa ya mawe na mahindi hakuna mzigo hata abiria wa kusema utajenga barabara . Kwa songea - mtwara ukiweka trip tano tu hupati abiria na kingine kumbuka nusu ya Hilo eneo ni hifadhi ambayo inahitaji feeder road kuja kwenye main
Karibia barabara zote ulizotaja Zina wakandarasi wako wanajenga ungetaja barabara ambazo hakuna hata mkandarasi sawa
 
utterly nonsense,
Kwamba hakuna barabara ya lami Njombe hadi Morogoro ?
Unless utwambie what business sense (Volume of Business) itajustify kuwekeza bilions of money kwa direct link ya njombe ifakara kama kipaumbele. Otherwise you sound Irrelevant mate.
Kuna mambo yanatia aibu kabisa mtu anakuambia hakuna barabara ya kuunganisha Zambia , - ruvuma wakati hizo nchi zimepakana na ziwa
 
Eti ametoa bilioni 15 ,
It’s okay anyway sina sababu yotote ya kuwa hâter wa mama. Ni vile tu tunaongea ukweli kuwa nafasi aliyonanyo ni kubwa kuliko uwezo wake. That’s it . Nothing personal mate.
Mradi wa B15 unauleta hapa hii ni miradi ya individuals .
and of course ni Miradi ya Jiwe ndio ccm wataitumia kwenye campaigns za 2025 .
Hata barabara ya kimara-kibaha wameshindwa kuimaliza 5 years down kitu gani wataweza hawa ?
bro tunza energy yako unaipoteza bure hapo hakuna kitu utaongea nae atakuelewa na wala hakuna kitu utaongea atakuelewa, tupa hio takataka kwenye dustbin 😂😂😂
 
Back
Top Bottom