ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,427
- 85,266
Jamaa nilipumbavu sana 😂😂😂 linajitia ujuaji hadi kwemye vitu ambavyo halivijui kabisaa…Wewe ndio mjinga kubisha usivyovijua. Ukiwa CBD una access ya Dar Port vizuri kabisa. Eti imeshikana na CBD wewe labda utuambie Kibera na CBD yenu ila CBD yetu hujui chochote zaidi ya hizo picha zako za Google.
Hahahahaaaa walituotea mechi ya mzunguko, unajua tuliwazarau, baada ya hapo tukapiga wote mpaka wao waliotuotea mechi ya mzunguko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ile walioshangilia wametufunga ni ipi?
Muache alete vipicha vyake vya Google wakati watu tunaingia bandarini kupitia hapo Posta halafu tunatokea Kurasini bila kutumia public road.Jamaa nilipumbavu sana 😂😂😂 linajitia ujuaji hadi kwemye vitu ambavyo halivijui kabisaa…
Maendeleo ya Kundustan 😂😂😂👇
View: https://www.instagram.com/p/DBWJ8dQN_lX/?igsh=MWVobHl4amswN2NrYw==
Ngoma ya kitoto haikeshi.Hahahahaaaa walituotea mechi ya mzunguko, unajua tuliwazarau, baada ya hapo tukapiga wote mpaka wao waliotuotea mechi ya mzunguko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ile mechi niliiangalia kwa makini kabisa, kimsingi sisi tulikua bora kuliko wao, walituokota tu.Hahahahaaaa walituotea mechi ya mzunguko, unajua tuliwazarau, baada ya hapo tukapiga wote mpaka wao waliotuotea mechi ya mzunguko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa ni jitu jinga sana 😂😂😂 limekomaa kabisa, kimsingi there is no way utaenda Znz kwa meli au boti bila kufika posta.Muache alete vipicha vyake vya Google wakati watu tunaingia bandarini kupitia hapo Posta halafu tunatokea Kurasini bila kutumia public road.
Piga tu kelele hapa na tunawarape tena😂😂😂
View: https://x.com/Cecafaonline/status/1847989149912936527
Muache alete vipicha vyake vya Google wakati watu tunaingia bandarini kupitia hapo Posta halafu tunatokea Kurasini bila kutumia public road.
Eti yeye ndio anatuambia sisi Posta ni CBD ila hapo unapopandia boat kwenda Znz sio CBD. Hajui kuwa Morogoro road inatoka Morogoro hadi bandarini Dar? Yaani unanyoosha straight inaingia bandarini.Jamaa ni jitu jinga sana 😂😂😂 limekomaa kabisa, kimsingi there is no way utaenda Znz kwa meli au boti bila kufika posta.
Ujuaji umemzidi.Eti yeye ndio anatuambia sisi Posta ni CBD ila hapo unapopandia boat kwenda Znz sio CBD. Hajui kuwa Morogoro road inatoka Morogoro hadi bandarini Dar? Yaani unanyoosha straight inaingia bandarini.
Bado matatu hapo...wale watu wanadrive vibaya sana aisee na ile miraa wanayotafunaNairobi ni mji hatari kuishi, mm nauogopa sn, kama hujaibiwa basi utaporomokewa na jengo au utauawa na bandits au political violence, mji wa hovyo sana.
Huyu msumbufu atamsumbua sana Ruto akiwa nje ya serikali kuliko alivyokuwa ndani ya serikali. Ni mbwatukaji na mropokaji sana.
Aliahatoa shutuma hizo hizo akidai Uhuru anataka kumuua... Na kusema hata akimuua bhas asiwaguse watoto wake... Hiyo ili punguza nguvu ya ushawishi ya uhuru ndani ya Mungiki.... Sasa zamu yake imefika... Ana force kupata na uhuru ili waunganishe nguvu pamoja... Mungiki iwe against ruto na serikali yake..
Shida bado ni kubwa hapo kaskazini.. Bado karata za Ruto zimekaa vizuri.. Kuwaficha kwapani critics wakubwa kama Maraga na Atwoli.. Bado anamzuga mzee yule Baba kwa uchair wa AU... Ah
Huo moto ukilipuka itawachukua 10 yrs kukaa sawa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇