Wewe ndio maana nakwambia nina mashaka na kuelewa wako.
Nakupa mfano mdogo tuu,kabla ya kuwekwa lami Kwa Barabara ya Tunduma-Sumbawanga,,ule Mkoa ulikuwa kama Kambi ya wakimbizi ila Leo hii Mji unakimbia.
Likewise Mpanda ,imekuwa na reli Toka uhuru ila baada ya Barabara Mji unakimbia ,the same to Kigoma nk nk
Ukiniukiza Barabara gani nakushangaa maana nimekupa Hadi ramani hapo inayoonesha rundo la mavumbi ,zote hizo Zinahitaji kuwa lami.
Unataka nikutajie Barabara Moja Moja au Mikoa inavyotakiwa kuunganishwa na lami? Tunahitaji Barabara kuliko kawaida 👇👇
View: https://x.com/Hakingowi/status/1847341463497298225?t=C-0Ksxz5YjvCx0AJfRv4WA&s=19