Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shinyanga inafinywa na Kahama na Mwanza on each side imebaki kuwa administrative seat tuu ya region na ndio maana serkali haitaki kuipa kahama hadhi ya manispaa wanaogopa ita overshadow Shinyanga.
Kuna baadhi ya maeneo yanatakiwa yangebaki maeneo ya mashamba. Kwa shinyanga hakuna economic activity ya kuweza kupanyanyua pale kwa sababu ni karibu na mwanza wangeacha watu wakajiwekea mashamba tu
 
Kama reli ni nafuu Kwa nini matajiri wa Tazara au wengine hawatumii huo usafiri?

By the way reli ni ya maana kama kuna mizigo hakuna maana ni hasara.

Barabara kwanza reli baadae
They compliment each other. Kuhusu watu kutotumia reli TRC hawako business minded na efficiency iko chini. Imagine kuna shida gani TRC kubeba mzigo wa eastern drc, rwanda, Burundi na Uganda kuuacha ISAKA from there malori yabebe? Utakuta shida ni inefficiencies ya shirika lenyewe unaweza ukaambiwa hakuna mainline locomotives za kutosha mtu anaona bora akodishe lorry from Dar mpaka hizo nchi which is very expensive and risky.
 
Shinyanga inafinywa na Kahama na Mwanza on each side imebaki kuwa administrative seat tuu ya region na ndio maana serkali haitaki kuipa kahama hadhi ya manispaa wanaogopa ita overshadow Shinyanga.
Kahama Tayari ni Manispaa. pitia hapa. Hadhi ya kuwa manispaa ni status na wala siyo huruma.

 
They compliment each other. Kuhusu watu kutotumia reli TRC hawako business minded na efficiency iko chini. Imagine kuna shida gani TRC kubeba mzigo wa eastern drc, rwanda, Burundi na Uganda kuuacha ISAKA from there malori yabebe? Utakuta shida ni inefficiencies ya shirika lenyewe unaweza ukaambiwa hakuna mainline locomotives za kutosha mtu anaona bora akodishe lorry from Dar mpaka hizo nchi which is very expensive and risky.
Halafu ukija ishu ya tazara ni mradi wa nchi mbili maamuzi mara nyingi yanakinzana kutokana tamaduni zetu.
Tukija trc, miundombinu ya ilikuwa imechoka sana hasa reli , Kulikuwa na uhaba wa mabehewa ya mizigo karibia Kila eneo , hii ilitokana na pale tulipomkabidhi mhindi kuiendesha akavuruga Kila kitu. Baada ya kadogosa kuteuliwa kukaingizwa Hela kidogo kwa ajili ya maboresho ndo ikazaliwa deluxe train kwenda kigoma. Hata hivyo Bado speed haikuwa rafiki lakini ilijitahidi kuongeza abiria hasa kwa mikoa ya tabora na kigoma.
Kuhusu mizigo Bado Kuna uhaba wa mabehewa ya mizigo tu
 
Tangu lini maana najua hadhi yake ni mji mdogo wa Kahama.
Mzee nimekuwekea link

1729270347259.png
 
They compliment each other. Kuhusu watu kutotumia reli TRC hawako business minded na efficiency iko chini. Imagine kuna shida gani TRC kubeba mzigo wa eastern drc, rwanda, Burundi na Uganda kuuacha ISAKA from there malori yabebe? Utakuta shida ni inefficiencies ya shirika lenyewe unaweza ukaambiwa hakuna mainline locomotives za kutosha mtu anaona bora akodishe lorry from Dar mpaka hizo nchi which is very expensive and risky.
Hoja ni mode ipi ni ya umuhimu zaidi kabla ya nyingine? Huwezi sema ianze kujenga reli kabla ya barabara

Mwisho why inefficiency? Private sector walishawahi wekeza wakakimbia Kwa sababu hakuna mizigo
 
Shinyanga inafinywa na Kahama na Mwanza on each side imebaki kuwa administrative seat tuu ya region na ndio maana serkali haitaki kuipa kahama hadhi ya manispaa wanaogopa ita overshadow Shinyanga.
Shy ni Mji wa Viwanda Kanda ya Ziwa Kwa sasa
 
Asilimia 81 unazijua kweli hapo sanasana ni vibao na alama za barabarani ni sawa tunavyosema sgr dar -dom imekamilika kwa asilimia 99 wakati ishatumika zaid ya miezi miwili na baranara nyingi ziko hivyo
Hiyo road imejengwa section,huko Liwale ni mavumbi tupu yaani kiufupi sehemu yenye vumbi ni kubwa kuliko kwenye lami.

Wewe elewa kwamba Nchi inahitaji Barabara sio reli,3/4 ya network ni mavumbi.

Barabara Zina push maendeleo ya individuals Hadi Nchi na sio reli Wacha ubishi wa kipuuzi
 
Mkuu Inawezekana hunafuatilia , kipindi Cha magu hakuna miradi kwa upande wa elimu aliyowekeza , huwezi Kuta hata 30 mpya kuanzishwa enzi za utawala wake , miradi kama barabara sawa ila nayo hakuimaliza maana hakukuwa na hela.tunazungumzia shule kwa mfano huu

View: https://youtu.be/XR-HW7E-z8U?si=p7_wClIUY62wqHVi
Hizi ni zile shule za 3bil tatu zimejengwa mpya from scratch Kila mkoa na nizawasichana.
Magufuli hakujenga shule Wala kuboresha miundombinu ya shule .
3. Kuhusu barabara lazima tuseme kuwa ni yeye maana hata ukiangalia barabara ambazo ndo zinamaliziwa zote yeye ndo alizianzisha . Kumbuka tungekubali kuwa zilikuwa na ubora pale ambapo hata ukaguzi wa vyombo vingine ungekuwa unafanyika , lakini pale mtu alipofanya ndivyo sivyo alitoka rejea Cag utouh.
3 hizo nchi zote ulizotaja zimeendelea kwa kuwekeza sana kwenye elimu . Elimu inafanya mtu kujitambua na zote ziliendelea hasa baada ya mapinduzi na kuamua kuwa na uchumi wa viwanda. Mfano tu china ilapoamua kuwekeza sana kwenye elimu ya ufundi ndo ilipotoka , vilevile Japan na India.
Kuhusu hospitali ndio alijenga muhimbili lakini ni watu wangapi wanauwezo kufika muhimbili ? Kipindi hapa Kuna vituo vya afya vingi sana vimeanzishwa na vingine kuboreshwa tofauti na kipindi Cha magu na kukuongezea tu pamoja na ujenzi serikali imeajiri watu wengi sana wa afya kipindi kuliko kipindi chochote.
Ukinipatia tangazo la kazi kuanzia 2015 - 2021 la kuajiri walau hata manesi 1000 kwa serikali kwa mkupuo nafunga account. Yaan ajenge hospitali majengo yabaki bila watoa huduma unaona Iko sawa.

Sijasoma ulichoandika mana najua ni uongo, chuki na kampeni za mwaka huu kwa mama, ukweli unajulikana huwezi kumlinganisha Magufuli na kiongozi yeyote Tanzania ukiacha baba wa taifa. Hivi nyie watu mbona mnasahau mapema sana, hivi nyie kabla ya Magufuli mlikuwa japo na uthubutu wa kubishana na nchi kama kenya? Ni hivi sasa ndiyo tunaiona kama failed state kutokana na ujasiri aliotupa magu, hivi unapataje guts za kumlinganisha Magufuli na Samia? Mbona mnaleta mzaha kwenye mambo serious? Kama unapiga kampeni sawa nafunika kombe.
 
Hiyo road imejengwa section,huko Liwale ni mavumbi tupu yaani kiufupi sehemu yenye vumbi ni kubwa kuliko kwenye lami.

Wewe elewa kwamba Nchi inahitaji Barabara sio reli,3/4 ya network ni mavumbi.

Barabara Zina push maendeleo ya individuals Hadi Nchi na sio reli Wacha ubishi wa kipuuzi
Liwale ni baada ya ruangwa ila kuanzia nanganga kwenda ruangwa ni lami . Kuna barabara inapaauliwa kutoka nangurukuru kwenda liwale huko kote Kuna ujenzi unaendelea tatizo linakuja mvua ikianza kunyesha hakuna kinachoweza fanyika
 
Liwale ni baada ya ruangwa ila kuanzia nanganga kwenda ruangwa ni lami . Kuna barabara inapaauliwa kutoka nangurukuru kwenda liwale huko kote Kuna ujenzi unaendelea tatizo linakuja mvua ikianza kunyesha hakuna kinachoweza fanyika
Ndio maana SSH ameweka kipaombele kwenye Barabara sio hayo ma reli yenu.

Barabara inatakiwa kutoboka kutoka Liwale Hadi Mahenge ambayo itarahisisha wasafiri wa kutoka Kanda ya kati,Ziwa kufika Mtwara.

Nchi inahitaji Barabara zaidi kuliko hizo reli,hizo blue line ni Barabara zinazotakiwa kufunguliwa 👇👇
Screenshot_20240709-061801.jpg
 
Back
Top Bottom