Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti ametoa bilioni 15 ,
It’s okay anyway sina sababu yotote ya kuwa hâter wa mama. Ni vile tu tunaongea ukweli kuwa nafasi aliyonanyo ni kubwa kuliko uwezo wake. That’s it . Nothing personal mate.
Mradi wa B15 unauleta hapa hii ni miradi ya individuals .
and of course ni Miradi ya Jiwe ndio ccm wataitumia kwenye campaigns za 2025 .
Hata barabara ya kimara-kibaha wameshindwa kuimaliza 5 years down kitu gani wataweza hawa ?
Mkuu tukiweka na siasa pembeni, hivi unajua mradi brt ulianzia enzi za kikwete
Mfano tu phase 1 ya brt ilianza kujengwa 2012 ikamalizika December 2015 kipindi Cha magu anaingia madarakani
Phase 2 pesa ilipatikana 2015 ujenzi ukaanza 2016 ilitakiwa uishe 2020 ila mpaka magu anaondoka madarakani kulikuwa Kuna dalili ya ujenzi kumalizika?
Phase 3 na 4 zote hizo kazimaliza Samia mlitaka atelekeze miradi na Kuanzisha mipya?
Kuna barabara kama kigoma-tabora ,kigoma -nyakanazi kikwete aliacha kashaingia mkataba wa ujenzi , tulikaa zaid ya miaka mitano barabara ya tabora imesimama ,Leo hii anazimalizia mnasema ni idea ya magufuli mbona mnasahau hata idea ya treni ni ya kikwete.
Kuna kuropoka Kuanzisha miradi halafu usiimalize .
Walau badala ya kumlaumu jamaa ungetusaidia kutaja miradi mitano mikubwa aliyoianzisha magu na akimaliza katika kipindi chake, kumbuka alikaa kipindi kimoja kizima katika utawala wake
 
View attachment 3129443
Kuna mambo mengine unapinga hayana logic.
Sasa hiyo hivi unajengaje barabara ya rukwa - Zambia na Malawi wakati zimepakana na ziwa Nyasa au Inamaanisha daraja kuvuka zaid ya km 50 ndani ya maji. Kuna Hela ya kujenga daraja kwa zaid km 50 na gharama yake siitaizid reli.
Connection ya shinyanga - Arusha inatoka wapi wakati zimetenganishwa na simiyu.
Bukoba -kigoma SI Iko katika ujenzi kupitia nyakanazi
Hapa ni mada ya mikoa ambayo haijaunganishwa na hakuna ujenzi unaondelea, lakini umeorodhesha barabara ambazo nyingi ziko katika ujenzi mfano wa hizo barabara ni
Masasi ruangwa-liwale infact ni masasi - nachingwea - liwale ruangwa
Masasi- newala- tandahimba zote ziko katika ujenzi
Kuna barabara nyingine hakuna hata logic ya kujenga mfano
Lindi - ruvuma wakati Kuna barabara ya mtwara- Lindi - masasi- tunduru - namtumbo - songea na Bado Kuna shortcut Iko inajengwa ya kupitia tandahimba.

Hiii ya mtwara- songea zaid ya makaa ya mawe na mahindi hakuna mzigo hata abiria wa kusema utajenga barabara . Kwa songea - mtwara ukiweka trip tano tu hupati abiria na kingine kumbuka nusu ya Hilo eneo ni hifadhi ambayo inahitaji feeder road kuja kwenye main
Karibia barabara zote ulizotaja Zina wakandarasi wako wanajenga ungetaja barabara ambazo hakuna hata mkandarasi sawa
Nilishakwambia wewe Bado sana hujui Tanzania ila unajua Kusini tuu huko.
Rukwa Ina mpaka wa Ardhi mrefu sana na Zambia wenye border posts 3 na mojawapo ya Barabara ya huko inaitwa Matai-Kasesya border-Kasama .

Songwe Ina mpaka na Malawi achilia mbali Kasumulu ya Mbeya,ukisagiri Barabara ya Tunduma-Isongole Border unalingia Malawi

Mikoa ambayo Kuna wakandarasi na haijaunganishwa na Lami ndio inaondoka tafsiri ya mada kwamba haijaunganishwa? Ujenzi wenyewe ni WA Kuunga unga mara km 20 mara 30 nk wakati Barabara Zina urefu zaidi ya km 150,Kwa utaratibu huu unadhani itachukua miaka mingapi kuunganisha?

Kuhusu Arusha na Shy ni kwamba unaifamu Barabara inaanzia Kolandoto-Mwanhuzi-Oldeani-Karatu? Hiyo ndio Barabara ya kuunganisha Arusha na Shinyanga na ni Trunk Road na Wala haipiti Makao Makuu ya Simiyu.

Mwisho sio tuu kwamba Barabara zenye mavumbi zinatakiwa kujengwa Bali zinatakiwa kufunguliwa Barabara Mpya mfano

Iringa-Ruaha NP-Kampi Katoto-Inyonga-Mpanda
Tabora-Kibondo
Sanya Jui-Longido-Serengeti
Tunduru-Liwale
Liwale-Mahenge
Singida-Tabora bila Kupitia Nzega
 
utterly nonsense,
Kwamba hakuna barabara ya lami Njombe hadi Morogoro ?
Unless utwambie what business sense (Volume of Business) itajustify kuwekeza bilions of money kwa direct link ya njombe ifakara kama kipaumbele. Otherwise you sound Irrelevant mate.
Kwa kuropoka uko vizuri Sana,nionyeshe hiyo Barabara ya Lami kati ya Njombe-Ifakara-Mikumi👇👇

View: https://youtu.be/jTnyisWn6NU?si=GTjXesUCHwv5nUPJ

Kiufupi wewe ni fala hakuna kitu unajua kwenye sekta ya Barabara👇👇
Screenshot_20241019-094506.jpg
 
Hii barabara mkandarasi ameshapewa ujenzi uko mbioni kuanza.
Mkandarasi unajua anajenga km ngapi? Ndio maana nimekwambia Barabara ya zaidi ya km 250 vumbi unatoa km 40 unategemea tutatumia miaka mingapi kukamilisha?

Pesa zote zinajenga ma useless Sgr, upuuzi.

Mwisho hii Nchi Ina shida kubwa sana ya planning na vipaombele.

Trunk roads hazijakamilia unaanzisha ujenzi wa Barabara zingine maporini huko kama Ile Bashungwa alikuwa anamkabidhi contractor Jana ,zipo za hivyo nyingi tuu.

Kwamba hatuna vipaombele ndio maana mambo ya afanyika Kisiasa kiasi kwamba napata shida na uwezo wa bongo za wenye dhamana.

View: https://www.instagram.com/reel/DBRoDpPKNUG/?igsh=MWVsMmZhZTFuOXB2Yw==

Matokeo yake tuna vimiradi viiingi bisivyoisha Kwa wakati na Kuzalisha mabilioni ya riba ambazo zingeepukika Kwa kuchagua miradi michache kuweka wakandarasi wa kutosha ndani ya mda mfupi zinamalizika na kuendelea Kuzalisha tunahamia kwingine.

View: https://www.instagram.com/p/DBRZCariW1K/?igsh=MTZibTc3bW15dDk4YQ==
 
Mchina kamtegea mtego zombie la Nairobi limejaa, wamelikamata, yani Kenya kila mtu mwizi aisee, angalia jinsi walivyomdaka. Alafu wakenya jinsi wanavyoogopa wachina wakawa wanamsaidia mchina kukamata hilo zombie mana wanajua vzr mchina hataki ujinga anakuchapa bakora tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

View: https://youtu.be/85ykNzwE4sE?si=ozpusr5g-5LInvNT

NB: Kwa Tanzania wangekuwa washamuua kitambo ila kwasabu Kenya wote ni wezi wakamuacha mwizi mwenzao.
 
Wewe ni mgeni? Huyo ni teargas wa Tz.
Tusiitane majina kwa kuwa mtu katoa wazo linatofautiana na lako au kiongozi fulani,nchi hii ni yetu wote tukubali kupokea mawazo kinzani tuyatafakari ikiwezekana tuyafanyie kazi tuanajenga nyumba moja!
 
Back
Top Bottom