Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,653
Mbona Tanzania imeichakaza Uganda na hatuna shobo kama nyie nyang'au. Vipi hali ya kaka yako Riggy G inaendeleaje?😎😎😎
Wala sio chuki , tunachosema miradi mingi iliyoanzishwa na magufuli ilikuwa inastuck ila kwa sababu hakukuwa na uhuru wa kukosoa ndo maana Kila mtu aliufyata.Sijasoma ulichoandika mana najua ni uongo, chuki na kampeni za mwaka huu kwa mama, ukweli unajulikana huwezi kumlinganisha Magufuli na kiongozi yeyote Tanzania ukiacha baba wa taifa. Hivi nyie watu mbona mnasahau mapema sana, hivi nyie kabla ya Magufuli mlikuwa japo na uthubutu wa kubishana na nchi kama kenya? Ni hivi sasa ndiyo tunaiona kama failed state kutokana na ujasiri aliotupa magu, hivi unapataje guts za kumlinganisha Magufuli na Samia? Mbona mnaleta mzaha kwenye mambo serious? Kama unapiga kampeni sawa nafunika kombe.
Hakuna anayepinga ujenzi wa barabara utofauti wa Mimi na wewe ni kuwa tuache kujenga reli tuanze kujenga barabara wakati Kuna maelfu ya barabara yako katika ujenzi.Ndio maana SSH ameweka kipaombele kwenye Barabara sio hayo ma reli yenu.
Barabara inatakiwa kutoboka kutoka Liwale Hadi Mahenge ambayo itarahisisha wasafiri wa kutoka Kanda ya kati,Ziwa kufika Mtwara.
Nchi inahitaji Barabara zaidi kuliko hizo reli,hizo blue line ni Barabara zinazotakiwa kufunguliwa 👇👇View attachment 3128973
Bosi unaweza taja mradi wenye tija ambao magufuli alianzisha na kukamilisha . Wenye tijaSijasoma ulichoandika mana najua ni uongo, chuki na kampeni za mwaka huu kwa mama, ukweli unajulikana huwezi kumlinganisha Magufuli na kiongozi yeyote Tanzania ukiacha baba wa taifa. Hivi nyie watu mbona mnasahau mapema sana, hivi nyie kabla ya Magufuli mlikuwa japo na uthubutu wa kubishana na nchi kama kenya? Ni hivi sasa ndiyo tunaiona kama failed state kutokana na ujasiri aliotupa magu, hivi unapataje guts za kumlinganisha Magufuli na Samia? Mbona mnaleta mzaha kwenye mambo serious? Kama unapiga kampeni sawa nafunika kombe.
Leo hii mmekubali Kila tunachowaambia Kila siku.🤣🤣Haina huo umuhimu ila wewe ndio unaitafutia umuhimu wa kunilazimisha 😁😁
Hizo red zote unaziona hapo ni mavumbi na huko Wananchi hawajielewi Serikali na Wala hakuna anataka Sgr 👇👇View attachment 3128749
Mnatuambia nini Kila siku? Nchi yetu ni kubwa so Ina network kubwa ya BarabaraLeo hii mmekubali Kila tunachowaambia Kila siku.🤣🤣
Are you forgetting our boys defeated Tanzanian grandfathers on the opening game?Mbona Tanzania imeichakaza Uganda na hatuna shobo kama nyie nyang'au. Vipi hali ya kaka yako Riggy G inaendeleaje?😎😎😎
Kenya has more road network than Tanzania.Mnatuambia nini Kila siku? Nchi yetu ni kubwa so Ina network kubwa ya Barabara
Ndio tuache kujenga reli kwanza Hadi basic infrastructures kama Barabara zile za muhimu ziwe zimemalizika maana hizo ndio zinakuza uchumi wa mtu mmja mmja na Nchi Kwa haraka sana.Wala sio chuki , tunachosema miradi mingi iliyoanzishwa na magufuli ilikuwa inastuck ila kwa sababu hakukuwa na uhuru wa kukosoa ndo maana Kila mtu aliufyata.
Mimi nimetoa mfano wa ajira tu na nyongeza ya mishahara tu kwa watumishi.
Magufuli alianzisha miradi mingi ila hakuwa anajenga, kilichokuwa kinafanyika ni siasa tu. Sasa hivi Samia kapokea miradi mingi ambayo ilikuwa ni viporo .
Chukulia mfano tu wa reli ilianza kujengwa 2017 na mpaka anaondoka alikuwa amedili na dar- Dom baadae akaruka kwenda kuanzishwa mwanza - isaka hapa katikati kuanzia makutupora mpaka tabora,tabora- isaka ,tabora - kigoma Hela amekuja kuanza kutafuta mama Samia .
Same kwenye brt ukiachana na alizokua ameacha kikwete phase zilizobaki zimepickup kipindi Cha mama Samia.
Hakuna anayepinga ujenzi wa barabara utofauti wa Mimi na wewe ni kuwa tuache kujenga reli tuanze kujenga barabara wakati Kuna maelfu ya barabara yako katika ujenzi.
Mama Samia anajenga vyote barabara na reli . Walau imekubali kuwa barabara zinajengwa kumbe hatujaacha kujenga
🚮🚮Kenya has more road network than Tanzania.
Barabara gani ambazo unaamini zitakuza uchumi na hazijajengwaNdio tuache kujenga reli kwanza Hadi basic infrastructures kama Barabara zile za muhimu ziwe zimemalizika maana hizo ndio zinakuza uchumi wa mtu mmja mmja na Nchi Kwa haraka sana.
Nashawishika kuwaza huenda Serikali inafanya makusudi Ili watu wasiwe na Uchumi iweze kuwatawala kirahisi maana hii ni Nchi ya kijamaa.
Haiwezekani Ivory Coast itumie Barabara na cocoa tuu na kuwa Moja ya Nchi zilizoendelea sana huko West Afrika na imetuzidi Uchumi.
Wewe ndio maana nakwambia nina mashaka na kuelewa wako.Barabara gani ambazo unaamini zitakuza uchumi na hazijajengwa
Huna lolote😎Are you forgetting our boys defeated Tanzanian grandfathers on the opening game?
Ivory coast inaingia mara tatu kwa Tanzania. Furthest point ya Ivory coast haizid km 950 Tanzania kutoka dar -kgm 1400 na sio furthest point , nikitaka kusafirisha mzigo toka kigoma kwenda dar nikiwa na lorry nahitaji zaid Lt 1000 za kwenda nakurud wakati Ivory coast ni nusu ya hapo , nitahitaji siku tatu kutoka mwanza to dar kwa lorry wakat kwa ivori coast nitahitaji siku Moja kuvuka kwenda nchi nyingineNdio tuache kujenga reli kwanza Hadi basic infrastructures kama Barabara zile za muhimu ziwe zimemalizika maana hizo ndio zinakuza uchumi wa mtu mmja mmja na Nchi Kwa haraka sana.
Nashawishika kuwaza huenda Serikali inafanya makusudi Ili watu wasiwe na Uchumi iweze kuwatawala kirahisi maana hii ni Nchi ya kijamaa.
Haiwezekani Ivory Coast itumie Barabara na cocoa tuu na kuwa Moja ya Nchi zilizoendelea sana huko West Afrika na imetuzidi Uchumi.