Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shy bhana inaniacha hoi sana, kimiundombimbinu ndani ya mkoa wa shinyanga pale mjini kati (wilaya ya shinyanga) ndio pamejengwa miundombinu vizuri kabisa ila Kahama ndio imechangamka kuliko zaidi..
Kahama ni gulio la wachuuzi na chimbo la manamba wa migodini 😂😂

Shy ni Regional HQ
 
Built and buy in kundustan
Screenshot_20241018_173455.jpg
 
Tanzania is nowhere to be seen. Kazi ni tu kupiga kelele na uwezo ni zero😂😂



Image
 
Most of the medicines, surgicals and medical devices used in East Africa are manufactured.


Image
 
Yani hadi Uganda imeshinda Tanzania when it comes to pharmaceutical production😂😂

1729264917790.png
 
Hujui kitu wewe Tulia.Ni aibu kuwa na Mikoa takribani 15 hazijaunganishwa na Lami harafu unakenua meno kuhusu Sgr
Usijifanye unajua kwenye ramani yako hapo ruangwa Haina Rami hii hapa sio Nini.

View: https://youtu.be/tdeDW7Fert0?si=WwWh8igmHwEpLd3H
Umesema kuwa Kuna mikoa 15 ambayo Haijafunguka, walau ungetaja kwamba mkoa huu hauna barabara na hakuna ujenzi unaondelea , sanasana hapa unachofanya ni kutetea maslahi tu kwamba reli inaenda kuondoa baadhi ya kazi ambazo wengi wanazitegemea .
Inshort hujui chochote kuhusu reli.
 
Usijifanye unajua kwenye ramani yako hapo ruangwa Haina Rami hii hapa sio Nini.

View: https://youtu.be/tdeDW7Fert0?si=WwWh8igmHwEpLd3H
Umesema kuwa Kuna mikoa 15 ambayo Haijafunguka, walau ungetaja kwamba mkoa huu hauna barabara na hakuna ujenzi unaondelea , sanasana hapa unachofanya ni kutetea maslahi tu kwamba reli inaenda kuondoa baadhi ya kazi ambazo wengi wanazitegemea .
Inshort hujui chochote kuhusu reli.

Wewe bwege Mimi najua kuliko wewe,hiyo Barabara haijakamilika Bado Iko around 70%.

Watu wanataka Barabara ndio zinawasaidia kuinua uchumi wao sio reli 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DBRTpdnN-Ka/?igsh=bzFxa3VkOWZiamox
 
Back
Top Bottom