Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Angalia takatala walizobeba juu ya Hilo lory, Nyumba za Pembeni, hapo ndio bus stop na convenient shopping , Mazingira baada ya barabara😂 kuna ki Nissan sijui caravan kulee kichafuuuuu hadi madirishani kikielezea kuogelea kwenye tope kila kikienda😂

😂😂😂😂 cha mwisho kabisa hili lory lina mtungi wa kuehemea ( kutoa moshi) umeelekezwa nyuma litakua linatema moshi kuliko ile treni ya Kuni.

View attachment 3117660
Wakuu kwenye hii picha kuna umaskini mkubwa, angalia.

1. Watu wanaingia na mizigo mizito na mikubwa inayopaswa kubebwa na private car, yn mtu anashindwa hata kulipa ksh1000 (18,000tsh current rate) anaenda kupanda public transport akawabane wenzie.

2. Angalia hiyo electric pole imeshikiliwa na li mti tu means serikali inashindwa kufanya repair ya electric infrastructures na kupelekea damage za mara kwa mara mwishowe ndiyo haya tunayoyaona ya power outage on a daily basis (giza republic).

3. Huo mzigo haueleweki ni mzigo gn, yani jamaa wanabeba kila kitu kama wacomoro aisee, wako hovyoo mnooo.

NB: Hiyo road apo chini ndiyo kielelezo cha Kenya, yn sisi watanzania tukisikia jina Kenya kitu cha kwanza kuja kichwani mwetu ni hilo vumbi hapo chini 👇👇
Screenshot_20241007-124820~2.png
 
basi kwanza nikuelimishe inaonekana hata huyajui mabasi yenu. kutoka mombasa kuja nairobi kulikuwa na stagecoach (iliuwa inapiga na trip za nairobi kama matatu), takrim,coastline tawfiq, akamba halafu kulikuwa na moja ya vijana yaani kama nyangau zenu ilikuwa inaitwa shaggy . kuna takrim , tawfiq na akamba zilikuwa zinakuja dar es salaam. upinzani ulivyozidi akamba akakimbia tawfiq ilipata ajali ikabadilisha jina ndio hyo simba coach. ila jua tuu tawfiq takrim(taqwa kwa sasa ) ni familia moja kizazi cha tanga.
akamba alikimbia tanzania baada ya hood ltd kuanza kufanya trip za nairobi.
miaka hiyo kuanzia portland mpaka machakos ilikuwa poli tu ulikuwa ukiwa juu ya lukenya hills unaiona jomo kenyatta airport kama uko kwa sebule .
Sasa hii insha yako refu Iko na tofauti Gani na nilichosema? Ni nini kipya umesema kwenye hii insha?
 
Unaona msomali hapo wapi wewe watchman? Kwamba hujui somali ladies huvaa hijab hata kwenye michezo?

Secondly, hujui kwamba northern eastern Kenya ni nchi ya wasomali Kwa asilimia 90?.

Cha mwisho, don't you know that Kenyan somalis are Kenyans? Wako na vitambulisho za kenya, and that they are represented in Parliament as well as government?
Asante kwa kukubali kwamba tajiri aliyekuja kuwekeza huko kwenu kwa uwekezaji wenye thamani kuliko yote Kenya ndugu Rostam Azizi ni Mtanzania.
 
Sasa hii insha yako refu Iko na tofauti Gani na nilichosema? Ni nini kipya umesema kwenye hii insha?
Kipyaa
1. haikuwa takreem ilikuwa takrim basi
2.Hukuwa unajua kuwa tawfiq ndo the current Simba coach.
3.nimekuonesha pamoja na kuwa unajifanya unaijua Nairobi , wengine tumeijua kabla hata ya wewe kutoka turkana
 
Wacha we... hii ndo Nairobi?
Narudia horizontal infrastructure development kenya iko level moja na DRC
Sema hawawezi kukubali hilo kwa sababu ya Ego zao
Hata chini ya Expressway ni the same thing...poor horizontal infrastructure
Hata BRT yao waliokuwa wanajenga Thika road sikuona iniative yoyote ya kujenga pavements, closed sewage and drainage systems.

Anyway tuwaache watakuwa wanakuja kushangaa Tu Bongo
Ndio yenyewe
 
Wakuu kwenye hii picha kuna umaskini mkubwa, angalia.

1. Watu wanaingia na mizigo mizito na mikubwa inayopaswa kubebwa na private car, yn mtu anashindwa hata kulipa ksh1000 (18,000tsh current rate) anaenda kupanda public transport akawabane wenzie.

2. Angalia hiyo electric pole imeshikiliwa na li mti tu means serikali inashindwa kufanya repair ya electric infrastructures na kupelekea damage za mara kwa mara mwishowe ndiyo haya tunayoyaona ya power outage on a daily basis (giza republic).

3. Huo mzigo haueleweki ni mzigo gn, yani jamaa wanabeba kila kitu kama wacomoro aisee, wako hovyoo mnooo.

NB: Hiyo road apo chini ndiyo kielelezo cha Kenya, yn sisi watanzania tukisikia jina Kenya kitu cha kwanza kuja kichwani mwetu ni hilo vumbi hapo chini 👇👇
View attachment 3117709
Eldoret Finest 🤣🤣🤣🤣
 
Sehemu kama hizo zipo
nyingi sana Dar ndugu yangu. These are just a few of such places. Yani totally undeveloped na misitu kwote.
View attachment 3115275View attachment 3115276View attachment 3115284View attachment 3115285View attachment 3115287View attachment 3115289View attachment 3115290
Tell me ni wapi utaenda Nairobi ukutane na sehemu kama hizo hapo juu. Hauwezipata hata utembee hadi wapi.

ALafu kila siku tunaambiwa hapa vile Dar ni kubwa! Kumbe vichaka na mashamba tu
Usijiaibishe we warthog.
Chanika na Mvuti ni pembezoni mwa mji.
Yani mpakani na mji ndio unatolea mfano!?
 
Nairobi is small geographically yes. Dar is big geographjcally yes but kuna vichaka na mashamba ya mihogo ndani. Sasa huo ukubwa una umuhimu gani?
Hivi wewe watu huwa wanajenga tu kiholela!?
Kigamboni yenyewe bado haijajaa watu waende wakajenge Mvuti!?
We jamaa ni fala ama nini!?
Dar ina maeneo kibao bado hayajajengwa kwasababu bado watu hawajafika.
Au watu wanajenga tu ilimradi wamejenga!?
 
Bro, there is an area south of kigamboni within Dar Boundaries that is pure rural area. The area is about half the size of Dar. Hiyo 1500 sq.km mnayoshinda mlitupigia kelele humu nusu yake ni mashamba.
Dar ni kubwa mzee huijengi kiholela tu.
Watu hawatoki kupuru kupuru wakaenda Mvuti na kuacha Mbagala kuu,kijichi, Kigamboni haijamalizika.
 
Dar ni kubwa mzee huijengi kiholela tu.
Watu hawatoki kupuru kupuru wakaenda Mvuti na kuacha Mbagala kuu,kijichi, Kigamboni haijamalizika.
Dar is a slum kila kitu cha maana iko within a 15km radius, the rest ni uswazi na mashamba ya mihogo. The only town karibu na Dar is a slum ni bagamoyo tu, the rest are small rusty villages.
 
Back
Top Bottom