Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukishindwa leta ushahidi means hakuna hicho kitu, unajitungia maneno. Nakujua vizuri.
Kwa zenye nilipost ukasema hakuna penye cost imeandikwa ndio hizi sasa. Lumumba affordable housing, $57M😂😂🤣👇👇

1728219311933.png
 
yani mpaka mabango yameandikwa chinnese 😂😂😂😂😂😂

ila mchina 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Lazima tu ingeandikwa kwa kichina cause they are the constructors, Nataka useme hapo penye imeandikwa proprietor. Kama hujui maana Sema tukiwaambia😂😂🤣😂
 
Acha nikawatch soccer, arguing with Low IQ idiots is very tiresome😂😂
 
Wapi huku? Meanwhile

Angalia hata dk 2 tu za mwanzo


View: https://youtu.be/i6H3Ee8nFA4?si=tJGyUiY8lEbBTTnY

Wacha we... hii ndo Nairobi?
Narudia horizontal infrastructure development kenya iko level moja na DRC
Sema hawawezi kukubali hilo kwa sababu ya Ego zao
Hata chini ya Expressway ni the same thing...poor horizontal infrastructure
Hata BRT yao waliokuwa wanajenga Thika road sikuona iniative yoyote ya kujenga pavements, closed sewage and drainage systems.

Anyway tuwaache watakuwa wanakuja kushangaa Tu Bongo
 
It’s only poor people that always think about food like you. Rich people think about money, remember Kenya usually gives Tanzania money.
Kundustan colonised na TZ mbwa ww,nchi ishajishindwia hata kulipa mishahara na ikiwa haina mradi wwt wa maana ndio muipe pesa TZ,high iq gani uliyokua nayo ww fala inashindwa hata kukusaidia kiakili
 

Attachments

  • VideoCapture_20240501-213125.jpg
    VideoCapture_20240501-213125.jpg
    38.2 KB · Views: 11
Kundustan colonised na TZ mbwa ww,nchi ishajishindwia hata kulipa mishahara na ikiwa haina mradi wwt wa maana ndio muipe pesa TZ,high iq gani uliyokua nayo ww fala inashindwa hata kukusaidia kiakili
Jifunze kuandika malaya hii. Did you ever attend any class really?😂😂🤣😂
 
Lazima tu ingeandikwa kwa kichina cause they are the constructors, Nataka useme hapo penye imeandikwa proprietor. Kama hujui maana Sema tukiwaambia😂😂🤣😂
sio contractors na ndio owners kabisa pesa yote inatoka mfukoni mwako mm nakwambia ukipata sehemu talanta sio PPP mm nafunga acc sasa hvi 😂😂😂😂

yani nioneshe kua ruto katoa pesa anajenga talanta sasa hvi mm nafunga acc
 
Back
Top Bottom