Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Basi kaa kimya kama hujui. Hapa unajadiliana na wasomi. Tunaenda kwa facts. Kama huna facts. Just appliciate. Maisha ni rahisi sana.
Sitakaa kimya, ukipenda ulie but hiyo haitaondoa ukweli kwamba there is a region in Kenya known as Nairobi Metropolitan😂😂🤣👇👇

IMG_0622.png
 
PROJECT IMEBUNIWA
View attachment 3116088
pia kumbuka miongoni mwa baadhi ya miradi mmeshaifuta haitafanyika ukiwemo wa LAMU ELECTRIC COAL PROJECT.
project ilitakiwa ikamilike 20230 kulingana na vision 2030 ya kenya ila mpaka sasa haijafikisha 50% ya mradi
Kubuni sio shida. Hata nyinyi mlibuni Dodoma in 1978 lakini hadi saa hii bado inafana na Isiolo😂😂🤣😂
 
Hakuna mtu wa kukuzomea hapa. Chutama kisha tuendelee na mjadala wa mambo mengine.
Nyinyi ndio mnaumizwa na mambo ya Nairobi Metropolitan, it will never disappear from the world map mpende msipende😂😂🤣😂
 
Alafu wasanii wenu wapo wanalia?
Waliacha kulia kitambo siku hizi we are promoting them and that’s why our entertainment industry’s much bigger than ya Tanzania😂😂
 
Wote wana loans.
Weka ushahidi basi?

Maana ukigoogle tu Kenya SGR unakuata kila taarifa ya mchina kufund kujenga, kusaidia etc na Debt burden.

Na unakuta ni $3bn Kenya Most expensive infrastructure na imeishia porini huku mchina akikusanya pesa zake za madeni.

While Kuna JNHPP $3bn full funded by GOT (Ukibisha lete kabisa na Ushahidi kijana) wala hatuwazi sana.

SGR ipo $30bn still GDP Surplus inasoma positive na inatoboa Tabora, Shinyanga, Mwanza.

Nyie baada ya SGR tu Kenya imekua Nchi yenye deni kubwa la China Africa.
 
Hiyo kiambu meyropolitan what’s the center of it? What about Kajiado? Na Namanga?😂😂🤣

Don’t just talk because people are talking, first understand the meaning of what people are discussing😂🤣
kulingana na sheria yako uliyotuwekea hapo ukielezea kuundwa kwa Nairobi metropolitan , basi mtu akiamua kuziiita hizo kuwa ni metropolitan ni sawa kwa sababu kulingana ulichotuwekea hakija-specify uuundwaji wa kitu inaitwa Nairobi metropolitan.
 
Weka ushahidi basi?

Maana ukigoogle tu Kenya SGR unakuata kila taarifa ya mchina kufund kujenga, kusaidia etc na Debt burden.

Na unakuta ni $3bn Kenya Most expensive infrastructure na imeishia porini huku mchina akikusanya pesa zake za madeni.

While Kuna JNHPP $3bn full funded by GOT (Ukibisha lete kabisa na Ushahidi kijana) wala hatuwazi sana.

SGR ipo $30bn still GDP Surplus inasoma positive na inatoboa Tabora, Shinyanga, Mwanza.

Nyie baada ya SGR tu Kenya imekua Nchi yenye deni kubwa la China Africa.
Tanzanian SGR is loan mwanza mwisho.
 
Tanzanian SGR is loan mwanza mwisho.
Weka source na pia unaweza google

KENYA SGR DEBT

Pia Google TANZANIA SGR Debt.

Umesoma hapo mmejenga kitu cha $3bn most expensive in Kenya imeishia porn na debt burden.

Ila kuna sie Tumeziweka kwenye dam $3bn mfuko wetu wa GOT, tumesimika jitu JULIUS NYERERE HYDROELECTRIC POWER na hatuwazi.
 
Weka source na pia unaweza google

KENYA SGR DEBT

Pia Google TANZANIA SGR Debt.

Umesoma hapo mmejenga kitu cha $3bn most expensive in Kenya imeishia porn na debt burden.

Ila kuna sie Tumeziweka kwenye dam $3bn mfuko wetu wa GOT, tumesimika jitu JULIUS NYERERE HYDROELECTRIC POWER na hatuwazi.
kwamba hapa tukiwaambia TANESCO walipe deni kwa makusanyo yao, wanamaliza tu
 
Back
Top Bottom