Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukikomelea msumari utakimbia JF sasa hivi 🤣 🤣 🤣 🤣
Utasumbuka sana bongolala. Hik hapa Mvuti
Screenshot_20241004-185421.jpg
 
manispaa za dar es salaam na ukubwa wake
kigamboni=578.3 km2
ilala=364.9 km2
kinondoni=269.5 km2
temeke=150.4 km2
ubungo=269.4 km2
sasa kuangalia tu ukubwa wa dar es salaam , Nairobi inaingia mara mbili kwa dar .
hata hivyo km 20 toka Nairobi cbd unakutana na mapori tu
 
Back
Top Bottom