Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ushuru ukiondoka italeta multiplier effect kwa sector nzima ya biashara na huduma. Kutakuwa na utanisi wa mapato kwa nchi maana businesses zitaongezeka, taxable individual incomes itaongezeka na corporate tax pia employent itaongezeka na other logistical and service sectors zita benefit.
Mapato yatakuwa mengi kuliko hizo hizo meagre taxes tunazotegemea.
Increased business volume is directly proportional to tax increase
Ndio ukweli ila Sasa huwezi kuwa na uhakika wa compensation ya Mapato yatakayopotea.

Hiyo multiplier effects and so fourth huwezi kui measure au estimates in actual figures,imekaa kimatarajio so Serikali zinachelewa kufuta Kwa sababu hizo za kupoteza Mapato..
 
Tanzania yote only have 2,000 millionaires which 1,600 of 2,400 are Arabs and Indians. Nairobi alone has 5,400.

1727604643546.jpeg
 
We kijana niwekee hata bus companies yenu yenye Marcopolo za AVA 10 toleo la 2024.

Huyo Tahmeeed tu hizi ruti za Bongo ameweka his best buses maana bila hizo hutoboi.

Kampuni zenyewe haziwezi mudu bus za kueleweka mnaenda kuzijochea malori alafu unatupigia kelele
tena hapo alikuwa anapita tu wakaona wapige picha,
 
si
according to who mama ngina au ndio wale millionare wa 1m usd kila mmoja
😂😂😂😂😂😂😂😂
si ajabu wakakuambia mama ngina anapesa kuliko azam.
watanzania wengi hawapendi kuonesha utajiri kuna mtu kama nagi investment (selemani) huwezi msikia ila vuka border tu uone yard moja tu unakuta ina mabasi zaid ya 200 na zipo zaid ya yard 20. ila huwezi mkuta anajikweza na wala hata hajulikani
 
Back
Top Bottom