Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kelele kama mbwa koko wewe.
Ni sahihi taarifa hufichwa pale kiongozi anapokua mgonjwa ili kuepusha tafrani katika serikali.
Ila akifariki huwa INATAJWA CHANZO CHA KIFO,MATIBABU ALIPOANZA KUPATIA HADI ALIPOFIA NI WAPI.
Katika ripoti zote hizo serikali ikiwemo Mabeyo alisema rais alikua Mzena akitibiwa hadi alipozidiwa na kufariki.
Na mkiambiwa na waziri wenu mkuu kwamba alikuwa busy anachapa kazi, huo mda wote (about two weeks) alikuwa wapi na kazi alikuwa akichapa wapi wakati huo muda wote hakuwahi oneka adharani?
 
Na mkiambiwa na waziri wenu mkuu kwamba alikuwa busy anachapa kazi, huo mda wote (about two weeks) alikuwa wapi na kazi alikuwa akichapa wapi wakati huo muda wote hakuwahi oneka adharani?
Alikua Mzena wiki zote hizo akitibiwa.
Na ni lazima atudanganye ili kutuliza hali ya kisiasa nchini.
Hivi unajua kuna watu walikua wana mipango ya unyakuzi wa uongozi walipoona mzee haonekani!?
Huyo Samia bado kidogo asingekua kiongozi.
 
Alikua Mzena wiki zote hizo akitibiwa.
Na ni lazima atudanganye ili kutuliza hali ya kisiasa nchini.
Hivi unajua kuna watu walikua wana mipango ya unyakuzi wa uongozi walipoona mzee haonekani!?
Huyo Samia bado kidogo asingekua kiongozi.
Do you have any proof?
 
so nairobi yote imekwisha kwenye picha moja hebu nambie sehemu gani mm sijaona hapo 😂😂😂😂😂😂
Wewe niambie ni wapi pameachwa nje kwenye hii picha ya Dar. Kijitonyama hadi Posta yote ndani
images - 2024-04-05T134243.099.jpeg
 
Kenya is ahead of Tanzania in aviation industry by far. Have you ever wondered why JKIA alone handles more than doubke the passengers handled by all Tanzanian airports combined?😂😂
Mnamiliki ndege ngapi? 😁
 
Back
Top Bottom