Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

si

si ajabu wakakuambia mama ngina anapesa kuliko azam.
watanzania wengi hawapendi kuonesha utajiri kuna mtu kama nagi investment (selemani) huwezi msikia ila vuka border tu uone yard moja tu unakuta ina mabasi zaid ya 200 na zipo zaid ya yard 20. ila huwezi mkuta anajikweza na wala hata hajulikani
Hakuna utajiri tanzania na wale wenye pesa wote ni warabu😂😂

Imagine Nairobi alone has morw than double the number of Millionares than entire Tanzania.

1727606632752.jpeg
 
Wewe endelea kupinga kila kitu? Hizo ni za last month. Najua unategemea kuona mabati kama za Arusha😂😂😆
1727606977243.png

haaha kwahiyo kwa kenya haya ni mabati, ndo maana nikakuambia tembea ufunguke akili hivyo ni vioo, gharama ya kufunga hivyo vioo mnauuza uwanja wa talanta mzima.
tena hiyo ni regional airport while kisumu international aitport wanatumia farm tractor kufanya shuntiing
 
Hakuna utajiri tanzania na wale wenye pesa wote ni warabu😂😂

Imagine Nairobi alone has morw than double the number of Millionares than entire Tanzania.

View attachment 3110182
and yet you have the highest number of slum dwellers in africa, yaan idadi ya slums mmewazidi mpaka burundi na kongo ambako bado kuna vita.
 
Gate ya Master Fabricator siku hizi ni barabarani? Alafu ilikuwa inapita barabarani ikienda wapi? Siku hizi Ally Star Ina routes za Kenya?😂😂
hio gari iko kwa gate au iko barabarani au ww huna macho 😂😂😂

kama huoni kwann usitumie jicho lako la tatu kuangalizia ng'ombe hii
 
kenya holds
Hakuna utajiri tanzania na wale wenye pesa wote ni warabu😂😂

Imagine Nairobi alone has morw than double the number of Millionares than entire Tanzania.

View attachment 3110182
Kenya holds 30% of the total slums in africa, and 90% of the slums are located in nairobi the capital city
1727607873537.png
 
Back
Top Bottom