ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,431
- 85,268
Daily dose 👇👇Hakuna utajiri tanzania na wale wenye pesa wote ni warabu😂😂
Imagine Nairobi alone has morw than double the number of Millionares than entire Tanzania.
View attachment 3110182
Maumivu upate wewe au Tanzanians.? 😂😂😂
Only mwarabu ndio anaweza hii Tanzania😂👇
View: https://x.com/RodgersKipembe/status/1840322905541910838
na hatuna hizi mambo zenu, nusu ya nairobi ni slums unakataa?Dar has no CBD😂😂
ila kweli huyu ni jobless, muhimu ni kukausha wawe wanaona vitu vinatembea tuMnahangaika na The Great Jobless Teargas
na hatuna hizi mambo zenu, nusu ya nairobi ni slums unakataa?
View: https://youtu.be/4PmCimD1MMc?si=y9TSIjY-kAv0ikxV
2017 😂😂😂 ndio kitu unaleta hapa kujifariji, bila shaka katika wakenya wawili basi mmoja ni kichaa
Prove itEti nusu, uongooooooo hata google maps inajua tu urapokwa. 🤣 🤣 🤣 Nairobi most places are well planned.
Ila unakubali kati ya 5.4mil pp 3 mil wanaish kwa slumsEti nusu, uongooooooo hata google maps inajua tu urapokwa. 🤣 🤣 🤣 Nairobi most places are well planned.
Kwani simu yako haina maps?Prove it
Kwani Kenya ghorofa zipo katikati ya barabara?Hii yote ni hasira ju ya ghorofa tano kando ya barabara. 🤣 🤣 🤣
Msa port kuwa mshindani wetu ni uzembe flan tu wa viongozi wetu,kijiografia ni aibu kwetu kwa rwanda na burundi kutumia msa port,now tumeamka naina burundi wameacha kabisa kutumia msa,rwanda na wenyewe kidogo kidogo naona wanaikimbiahaha hawa huwa wepesi kusahau kipindi wamekomaa na collision of the willing, walituona maboya sana kumbe tunawacholea ramani, wakakopa kwa wingi sana na kukawa na mapicha kibao sana kumbe sisi tunawachora tu, ikawa mara lapsset, mara flyovers , konza satellite city. kilichotokea wamekopa wamekeza kwenye miradi isiyokuwa na faida wala return , galana irrigation scheme mpaka leo imekufa . wamebaki na mabega tu, within three years hata hiyo mombasa port inaenda kosa soko kabisa
Haina wewe weka hapaKwani simu yako haina maps?
Mkeka mpya kabisa huu. Kama USA mwanangu ❤️ ❤️ 😘 😘 😍 😍 🇹🇿 🇹🇿 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Kwenye wakenya wanne mmoja kichaa mkuu.Kwani Kenya ghorofa zipo katikati ya barabara?
Kilochosababisha kipindi like isitumike kipindi like ilikuwa network ya barabara Kanda ya kati, kumbukq Kuna miaka ilitulazimu kuzungukia Nairobi kuja dar na ndo kipindi hicho wakenya wakatembelea fursa.Msa port kuwa mshindani wetu ni uzembe flan tu wa viongozi wetu,kijiografia ni aibu kwetu kwa rwanda na burundi kutumia msa port,now tumeamka naina burundi wameacha kabisa kutumia msa,rwanda na wenyewe kidogo kidogo naona wanaikimbia