buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Nangoja kuwaona wakikataa mashule zao😂😂🤣
View: https://x.com/eastafricatv/status/954602459456004096
Yaani toka 2009
Nangoja kuwaona wakikataa mashule zao😂😂🤣
View: https://x.com/eastafricatv/status/954602459456004096
Nani kakwambia ni luck wewe!??Nimekuuliza wewe umepata ngapi if mining is not luck? Tumewaambia mining is luck and that’s why huyo jamaa kapata $8M mkakataa, sasa tuambie wewe umepata ngapi?
Shule gani hii kijana?They even have a school where two teachers teach two different subjects for two classes (grades) in one classroom at the same time😂😂🤣🤣
Hawataki kupoteza time😂😂👇👇
View attachment 3103700
Yet hao wachimbaji wadogo takes decades to get something meaningful. The last time we heard of small miner getting good money from gold was I think in 2019 when Maasai guy got luck.Ndivyo unavyojidanganya!??
Unajua Tanzania ina jumla ya migodi mingapi!?
Kuna migodi midogo,ya kati na mikubwa.
Je unalifahamu hilo!??
Mention the name kijana, unless unataka tulete kila picha mbona zimejaa Kenya.Bongolalas hujiskia sukari sana kwa hii thread, utadhani hawateseki kumbe they are bottom of the barrel sh*t.
![]()
Umeonyeshwa shule ya msingi wewe unatuonyesha secondary school. Umefinywa huna pakutorokea. 🤣 🤣 🤣
Unapewa picha za 2021, 2022, 2023 unaita miaka ya nyuma? 🤣🤣Shida yako umeshikilia mentality ya miaka ya nyuma nikimaliza kumprove Teargas nawarudia na picha zenu.
😂😂😂😂😂Bro una uhakika na unachoongea!?Yet hao wachimbaji wadogo takes decades to get something meaningful. The last time we heard of small miner getting good money from gold was I think in 2019 when Maasai guy got luck.
Actually 99.99% of Tanzanian small miners haven’t even got around $10k since they started mining.
Kipi kingine utatuonesha na mnashinda mkirudia Ile shule ya tope ya Kenya humu?🤣 Si mjadala umeanza tulipokuambia shule kama hizo Bongolala zipo ila shule yenye hadhi ya MPESA School hamna?🤣🤣Mention the name kijana, unless unataka tulete kila picha mbona zimejaa Kenya.
Ni luck. That’s why only one in a million small miners gets those money. Even the ones that are lucky to get those huge gold can’t repeat the same trick, Tangu yule Maasai apate $3M, ashaipata even a 10th of that again? It’s now the 6th year.Nani kakwambia ni luck wewe!??
Huu mfumo waliuleta Tanzania 1993 kwa shule chache kuufanyia majaribio, walichanganya phy, chem na bio kuwa somo moja, eti unified science. Zilikuwa ni sera mbovu za IMF, za kutufanya mbu mbu mbu.Mungai akataka kuleta mfumo wa Kenya akachanganya physics na chemistry aiseee akidhani elimu ni rahisi hivyo kama wanavyoichukulia huko kwao.
Use singular. Wewe umewaipata ngapi?Sasa kama watu tushawahi kupata 400 grams hizo 18 grams kwanini zitushinde??
Kwa hivyo unapinga hapo sio bongoslum?Mention the name kijana, unless unataka tulete kila picha mbona zimejaa Kenya.
Unapewa picha za 2021, 2022, 2023 unaita miaka ya nyuma? 🤣🤣
Halafu kuprove Gani wakati unapewa shule ya msingi unarudi na picha za shule ya upili?🤣🤣
Hakupata $3 millions ilikua zaidi ya hiyo.Ni luck. That’s why only one in a million small miners gets those money. Even the ones that are lucky to get those huge gold can’t repeat the same trick, Tangu yule Maasai apate $3M, ashaipata even a 10th of that again? It’s now the 6th year.
Sikuwa pekeyangu sasa how can I use singularity!?Use singular. Wewe umewaipata ngapi?
Mbona hajaipata tena kama hiyo? It was purely luck.Hakupata $3 millions ilikua zaidi ya hiyo.
Kwanini useme luck??Mbona hajaipata tena kama hiyo? It was purely luck.
Hakuna ulichopataSikuwa pekeyangu sasa how can I use singularity!?
Tumepata sio nimepata na ilikua 2022 gram 400.
Na ndio ilikua mwisho wa mimi kujihusisha na hizo biashara pasua kichwa.Hata leseni ninayo inasoma mwaka 2022.