chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,124
Pamoja na serikali yetu sio perfect ila sometimes tukubali tuna watu wenye akili timamu serikalini, Nigeria ni largest economy in Africa ungetegemea wangefanya vitu kwa ukubwa huo lakini namna serikali yao inaendeshwa ni aibu, brt yao imetafuna pesa nyingi kuliko yetu by far lakini angalia busses kutoka same marcopolo company waliyoorder, hayana AC, ni mafupi, hayana handicapped priority ♿ ni mabaya in short lakini sisi tumeenda kutungua kitu first class, lazima wakundustan watuchukie
🇳🇬
🇹🇿
🇳🇬
🇹🇿