Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongoslum is full of primary school dropouts. 🤣 🤣 🤣 Waaaaa over 329,000 school dropouts in a single year. Ndio kwa maana hapa hua kumejaa mafala. 🤣🤣🤣

Image
 
Ni luck. That’s why only one in a million small miners gets those money. Even the ones that are lucky to get those huge gold can’t repeat the same trick, Tangu yule Maasai apate $3M, ashaipata even a 10th of that again? It’s now the 6th year.
There are more sportpesa jackpot winners than Tanzania local miners who get minerals worth over $1M.
 
Somo gani? Utapeana somo kwa kitu hujui? Hujui chassis ni nini, kusomesha mtu ndio utajua?😂😂🤣😂.

We assemble chassis in Kenya whether you like it or not😂😂🤣.
ww hujui maana ya aseembly ndio maana unapata shida sana marcopolo sio kampumi ya kenya hehe ile ni kampuni ya watu so ukipewa leseni maana yake unakua assembler kazi yako ni kufata masharti yao na kununua vifaa kutoka kwao na sio vinginevyo yani mzungu akupe leseni alaf ukanunue bolt and nut kwa kanji bhai uharibu jina la kampuni ambayo amelitengeza jina kwa miaka 100

ww akili yako ni fupi sana tena sana
 
There are more sportpesa jackpot winners than Tanzania local miners who get minerals worth over $1M.
Ama hakuna ashaipata hata $1k in those mines😂😂.

Gambler has more chances of winning $1M than a Tanzanian miner getting gold worth $1M😂
 
leta ushahidi AVA ananunua anafunga kwenye marcopolo mm nafunga acc sasa hvi mamaeee😂😂😂😂😂😂
Si ulitaka kujua kama tunate geneza? Kwanza coastal solutions ndio mostly inatengeneza automotive bolts and nuts😂
 
Ama hakuna ashaipata hata $1k in those mines😂😂.

Gambler has more chances of winning $1M than a Tanzanian miner getting gold worth $1M😂
Huyo Gambler anaweza akatengeneza fedha uwiano wa hiyo consistently!??
Jibu ni hapana.
Ila mchimbaji madini anaweza akaunda fedha uwiano na hiyo consistently.
 
Geita Gold mine is manage by a South African company. Hakuna Mtanzania hapo hata moja.
Mara Gold mine is Done by Barrick.
Kahama ownerd by Barrick for 84% and GOT for 16%. Hakuna mtanzania wa kawaida hapo.
Shinyanga gold mine also owned by Barrick.

So tell me, kwa hizo zenye zimetajwa, ni gani zinamilikiwa na common people and how much did those common people generate?
Kwa hiyo unajifanya unajua sana sector ya madini Tanzania kunizidi ama?

Soko la madini ni kwaajili ya local miners, kuna class 1 miner atakuja kuuza dhahabu kwenye haya masoko?


View: https://x.com/geita_rs/status/1107645390202044416?t=R7JdqLg_8omb0nU_wrZJ-w&s=19
 
Si ulitaka kujua kama tunate geneza? Kwanza coastal solutions ndio mostly inatengeneza automotive bolts and nuts😂
kwamba marcopolo mwenye kampuni aliekupa leseni bolts and nuts zake akauze wapi?? yani unaongea as if marcopolo ni kampuni yenu 😂😂😂😂😂

ili upewe leseni ya aseembling ni lazma ufate masharti kutoka kwa manufacturer na lazma ukidhi vigezo na ni lazma ununue parts kutoka kwao si vinginevyo unless ww uwe hujui maana ya assembling
 
Back
Top Bottom