Bahati na sibu?
Okey let's do this
Katika gold worth of 20 billion government has collected roughly 1.4 billion as overall taxes, tariffs, royalties, revenues etc
Meanwhile in 2023/24 government collected 753 billion from only maduhuli which is not even taxes, can you guess what tones of gold taxed from all that money and how many millionaires were made from such business? 😂😂😂
Nenda kwenye cross multiplication uje na jibu mwenyewe
20 billion = 1.4 billion
X. = 753 billion
Halafu wote hawa ni wabongo hakuna mgodi wa mgeni, then njoo niambie Kunyaland sio hata naislum kuna venture ipi ya business inaweza kutengeneza pesa yote hii kwa average Kenyans then ndio nitaamini kwamba kweli mnatuzidi dolla millionaires
View attachment 3103791View attachment 3103792