REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,602
- 11,528
Geza, Chamoto sijawaona muda, wazima kweli? Mwenye taarifa?
Embu piga faida inayopatikana katika assembling ya,hizo buses halafu upige mara 3000 tuone uchumi umefaidika kiasi gani.Last year 3000 buses were built locally, how many did Tanzania build last year?
Sijui kwa nini nyang'au Teargas bado amelala na hataki kuamka?😎
View: https://m.youtube.com/watch?v=8hWKDJf3N5o
Wewe hata chakula ni shida, mbo ya maghorofa wapi na wapi?Wakenya sasa wameamua kuenda kujenga magorofa nchi zingine. Competition at home has been stiff.
This is the first 30 floor building in Rwanda being built by a Kenyan.
![]()
Mi nashukuru Mungu ni mzima, nimetigwa tuu. Asante kwa kutujulia hali.Geza, Chamoto sijawaona muda, wazima kweli? Mwenye taarifa?
Mmepanda 3 steps, tumepanda 6 steps. Alafu na haya makelele yenu yote ya footballing nation bado tuko mbele yenu.Tanzania no.110 na ina green arrow it means inapanda.
Sema mwenyewe tumetoka nafasi ya ngapi hadi tulipo.
View attachment 3100649
Nipo na wewe. SGR ni full AC. watu wamebadilika. Kwenda Kimara atakuwa muwekezaji mwingine private. Buses zake zitakuwa full AC.Hamna bhaana!😀
We unataka mabasi yanuke vikwapa? Hakuna lisilowezekana. Kama hata SGR tungekuwa na mdahalo, fahamu kabisa hakuna hata mmoja angekubali tunaweza kwakua nchi nyingi Africa hawana hata South Africa na ndio maana Mkwere plan ilikuwa alete SGR ya mafuta ya karabai.
Hapo wamekosea, wangekuja na G8😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe hata chakula ni shida, mbo ya maghorofa wapi na wapi?
Mtu ana kazi, ana gari, ana investment na bado unamuongelea mambo ya chakula? Vumbistan mnakuwanga na ushamba sana.Wewe hata chakula ni shida, mbo ya maghorofa wapi na wapi?
Mko mbele yetu kwenye kipi, rank za timu ya taifa huwa ni za muda tu na hazina uhalisia, haiwezekani uwe na ligi bora alafu usiitwe football nation kisa rank za CAF zinasema Burundi yupo juu yako na viwanja vyao vile, sisi tuna ligi bora Afrika kuliko nchi zote EA na pia tuna viwanja vzr kuliko nchi zote EA huwezi kutukaribia hata chembe, achana na rank za uongo na kweli, nchi haishiriki Afcon inakuaje mbele ya nchi inayoshiriki Afcon na kuwa na clubs shindani hapa Afrika. Hamtukaribii hata chembe.Mmepanda 3 steps, tumepanda 6 steps. Alafu na haya makelele yenu yote ya footballing nation bado tuko mbele yenu.
We ndio mkewe?Mtu ana kazi, ana gari, ana investment na bado unamuongelea mambo ya chakula? Vumbistan mnakuwanga na ushamba sana.
Wewe mr.difficle tulia watu wacheze mechi zao.You are a Quack😂😂😂
Games kama gani Namibia hawajacheza yet Kenya defeated 2-1 last week? You will always remain a Quack.
Correct ziko DGV asee, wanajaza kupita kiasi. That's what we need badala ya kukimbilia marcopolo.Mkuu naona Bus za Mchina hazina changamoto kama hivi unavyodhani.
Zile Gari wanajaza sana watu kupita uwezo wa Gari. Pia hazifanyiwi service kwa wakati.
Kuna urasimu mkubwa sana kati ya kitengo cha fedha na maintenance. Hadi hela itoke ni mchakato. Na hapo dereva ana force kuendesha maana ikipaki Gari hakuna allowance. Gari zinazidi kuumia tuu.
Na pia kwa Bulk procurement kama ile Gari nyingi kwanini hawa kuweka kifungu cha kulazimisha wataalam wao waje hapa kujengea uwezo watu watu hapo kwenye kufanya maintenance!? Mbona ni kitu simple kwa size ya order ile!?
Hizo gari za mchina kwa shuruba zilizopata bado naona ni ngumu tu hazina shida. Hadi leo bado milango mizima... Sio poa mtiti wake Ati....
Hii inanunua zile buses fake za Kichina tano😂😂
View: https://x.com/omwambaKE/status/1836688421571424265
Kama Azam vile ulivyokua unasema sio chuchungeI can see wooden benches everywhere 😂😂
Ujenzi wa Bandari awamu ya 2 unaendelea.Hii bandari ikona crane moja. 🤣 🤣 🤣
Sgr imewezekanaje Hadi ishindikane kwenye Mabasi?Serikali haiwezi kuhudumia hizo G7. Kama ni kutaka sifa tumenunua top of the range buses sawa. Mtu wa Mbagala public bus lenye AC la nini? Hio ni hasara nyingine kubwa inakuja.