Hayo ni madhara ya kujificha kwenye kichaka cha data za kupika.Hivi kwani hawa watu kanchi kao kamekumbwa na nn?
Hayo ni madhara ya kujificha kwenye kichaka cha data za kupika.Hivi kwani hawa watu kanchi kao kamekumbwa na nn?
Wasitutanie kabisa.Alafu eti wakenya wanajilinganisha na Tanzania, alooo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Baada ya viwanja hivi viwili kuisha utasikia kelele nyingi sana za Wakenya!Pesa vs Ubora, Uchu!.Huu nadhani ndiyo utakuwa uwanja wa kisasa na bora zaidi hapa Afrika mashariki kama sio Africa nzima.
Ikarus pia nadhan. Unakumbuka ziara ya rais wa Hungary.
Serikali haiwezi kuhudumia hizo G7. Kama ni kutaka sifa tumenunua top of the range buses sawa. Mtu wa Mbagala public bus lenye AC la nini? Hio ni hasara nyingine kubwa inakuja.Ndio maana kuna Scania Tanzania. Hao Golden Dragon wako wapi hapa Tanzania? Vifaa, service na repairs wanafanyaje kama dealer hayupo?
Tatizo ni serikali na management ya BRT na tatizo hilo haliwezi kwisha kwa kuleta high end buses,hata hizo zitakufa hazijazoea shida na ujinga wa Africa.Mkuu naona Bus za Mchina hazina changamoto kama hivi unavyodhani.
Zile Gari wanajaza sana watu kupita uwezo wa Gari. Pia hazifanyiwi service kwa wakati.
Kuna urasimu mkubwa sana kati ya kitengo cha fedha na maintenance. Hadi hela itoke ni mchakato. Na hapo dereva ana force kuendesha maana ikipaki Gari hakuna allowance. Gari zinazidi kuumia tuu.
Na pia kwa Bulk procurement kama ile Gari nyingi kwanini hawa kuweka kifungu cha kulazimisha wataalam wao waje hapa kujengea uwezo watu watu hapo kwenye kufanya maintenance!? Mbona ni kitu simple kwa size ya order ile!?
Hizo gari za mchina kwa shuruba zilizopata bado naona ni ngumu tu hazina shida. Hadi leo bado milango mizima... Sio poa mtiti wake Ati....
Serikali haiwezi kuhudumia hizo G7. Kama ni kutaka sifa tumenunua top of the range buses sawa. Mtu wa Mbagala public bus lenye AC la nini? Hio ni hasara nyingine kubwa inakuja.
Tatizo ni serikali na management ya BRT na tatizo hilo haliwezi kwisha kwa kuleta high end buses,hata hizo zitakufa hazijazoea shida na ujinga wa Africa.
Private companies kama Abood etc wanakimbilia Mchina kwasbabau ya gharama. Wanajua kuishi na Scania sio kazi rahisi leo BRT hii isioweza hata ku maintain ticketing system waweze kuendesha top of the range Scania? I will be very happy to be proven wrong.Una point hapa Mkuu...
Ngoja tuone mwisho wake... Labda kuna some sort of politics..
Kipigo kingine kinakuja 😂 Mwaka mbaya sana kwa watufudenge 😂
View: https://www.instagram.com/reel/DABdkb_pGt1/?igsh=emJtNmRrOWppZGh5
View: https://x.com/RashdaZunde/status/1836690392734912987?t=VbJOcreHcbQ1U9LYlcLqPA&s=19 😀😀 ni kipigo kitakatifu tusubirie maandamano mengine tu huko kunyaland 😀
Unaogopa huu mtambo kuingia mbagala huko 😀Huu mzigo at least ingekuwa Tegeta Posta