Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kukimbilia personal attack mr.difficle instead of difficile.
Jibu swali langu muna muda gani mpaka kupanda??
Na nimekusisitiza kuna mataifa hapo hayajacheza mashindano ya kwao.
Kaa tuliza kishundu hiko.
You are a Quack and you have no clue about anything.
 
Serikali haiwezi kuhudumia hizo G7. Kama ni kutaka sifa tumenunua top of the range buses sawa. Mtu wa Mbagala public bus lenye AC la nini? Hio ni hasara nyingine kubwa inakuja.
Hamna bhaana!😀
We unataka mabasi yanuke vikwapa? Hakuna lisilowezekana. Kama hata SGR tungekuwa na mdahalo, fahamu kabisa hakuna hata mmoja angekubali tunaweza kwakua nchi nyingi Africa hawana hata South Africa na ndio maana Mkwere plan ilikuwa alete SGR ya mafuta ya karabai.

Hapo wamekosea, wangekuja na G8😀😀😀
 
You are a Quack and you have no clue about anything.
Mtu anayeniita quack hajui hata kuandika difficile anaandika difficle??
😂😂😂😂😂Maajabu haya.
Umeshindwa hoja kojoa ukalale.
Subiri kina Namibia na Tajikistan washinde mechi zao wakushushe hapo.
 
Hamna bhaana!😀
We unataka mabasi yanuke vikwapa? Hakuna lisilowezekana. Kama hata SGR tungekuwa na mdahalo, fahamu kabisa hakuna hata mmoja angekubali tunaweza kwakua nchi nyingi Africa hawana hata South Africa na ndio maana Mkwere plan ilikuwa alete SGR ya mafuta ya karabai.

Hapo wamekosea, wangekuja na G8😀😀😀
Kweli kabisa, mambo yanawezekana tu, mambo mengine yatafanyiwa marekebisho ikiwemo na ustaarabu, kwanza bus kama ile automatically inakufanya abiria uwe mstaarabu.
 
Mtu anayeniita quack hajui hata kuandika difficile anaandika difficle??
😂😂😂😂😂Maajabu haya.
Umeshindwa hoja kojoa ukalale.
Subiri kina Namibia na Tajikistan washinde mechi zao wakushushe hapo.
You are a Quack😂😂😂

Games kama gani Namibia hawajacheza yet Kenya defeated 2-1 last week? You will always remain a Quack.
 
Hili suala la club za mpira kuwa na viwanja vyake limekuwa jambo la kawaida hapa Tanzania kwa sasa, inapendeza sn. Sio ligi bora Afrika alafu viwanja tope kama vya Uganda au Kenya au Burundi.
Watchman Vipi? Naona unaropokwa na maneno. There is no club in Tanzania yenye itawaikuwa na Stadium kama ya Ulinzi Stars.
 
soma maelezo hapo majukwaa bado yanajengwa wanaweka viti 20,000 au ww huoni kama ujenzi unaendelea wa majukwaa??😂😂😂😂😂

unaumia sana na mm ndio furaha yangu
Mimi naona wooden benches. Maelezo won’t turn those woods into seats😂😂😂🤣
 
Kweli kabisa, mambo yanawezekana tu, mambo mengine yatafanyiwa marekebisho ikiwemo na ustaarabu, kwanza bus kama ile automatically inakufanya abiria uwe mstaarabu.
😀 😀 Ni mwendo wa uthubutu sioo😀😀 Ni mwendo wa midude ya bei mbaya, hizo cheap products zingine tuwaachie wamiliki wa njaa, Wakenya.
 
Wakenya sasa wameamua kuenda kujenga magorofa nchi zingine. Competition at home has been stiff.

This is the first 30 floor building in Rwanda being built by a Kenyan.


Image
 
soma maelezo hapo majukwaa bado yanajengwa wanaweka viti 20,000 au ww huoni kama ujenzi unaendelea wa majukwaa??😂😂😂😂😂

unaumia sana na mm ndio furaha yangu
Huyo Bushman huwa anaumizwa sn na maendeleo ya Tanzania na kwa taarifa yake itabidi azoee tu kwa ss hakuna jinsi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Thanks for confirming that’s Tanzania is always lazy and wait to buy cheap and fake buses from China.
And who told you there are fake autos in the world? You can't compare Yutong and low budget Scania assembled in Kenya

Good thing about China made buses you buy the high quality luxury coaches at a very reasonable price
 
Back
Top Bottom