Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1726811479624.png
 
And who told you there are fake autos in the world? You can't compare Yutong and low budget Scania assembled in Kenya

Good thing about China made buses you buy the high quality luxury coaches at a very reasonable price
And yet those Yutong don’t last 2yrs on the road before they become disfunctional.
 
Embu piga faida inayopatikana katika assembling ya,hizo buses halafu upige mara 3000 tuone uchumi umefaidika kiasi gani.
Those are both fabricated and assembling. Faida is bigger than your imagination.
 
Wewe hata chakula ni shida, mbo ya maghorofa wapi na wapi?
Mbona mambo ya gorofa inawaumiza hivi? Did I tell you mkose pesa za kujenga gorofa? Investors pia wanaogopa kuwekeza Tanzania juu wanajua those gorofa will no be occupied 😂😂
 
Mtu ana kazi, ana gari, ana investment na bado unamuongelea mambo ya chakula? Vumbistan mnakuwanga na ushamba sana.
Brain ya Tanzanians resolves around food. No wonder mtu akianza kuongelea pesa na investments wanalia, wanakasirika na kujaza kukuita majina 😂😂
 
Wewe mr.difficle tulia watu wacheze mechi zao.
Pia usisahau upo kundi gani AFCON.
Ukizingua tu unapigika unashuka.
Microbiologist gani hajui hata kuandika jina la mdudu😂😂😂😂😂?
Elimu ya Kenya majanga.
Do you know the reason I call you a Quack? It’s because you are ignorant. Mtu mzima anajiita CO lakini hajui there’s something called spelling error and autocorrect. Wewe on the other hand you don’t know anything about microorganisms, you don’t know how they spread, how they diagnosed, you don’t know how they are prevented and finally you don’t know how they are killed and treated.

You are a Quack.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Kundudwellers hawajawahi kuwa na akili
Gays ndio wako na akili?😂😂😂

Acha mambo ya ushoga, utapatwa na hemorrhoids and rectal prolapse😂😂
 
Gays ndio wako na akili?😂😂😂

Acha mambo ya ushoga, utapatwa na hemorrhoids and rectal prolapse😂😂
Hayo mambo ya kuchamba watu, tulishawachia nyie wanawake. Hapa tuanajadili kuhusu big projects
Je, umeshindwa kuleta big projects, tujue kuwa battle hii imekuwa ya michambo?
 
Mmepanda 3 steps, tumepanda 6 steps. Alafu na haya makelele yenu yote ya footballing nation bado tuko mbele yenu.
Ulituzidi nafasi ngapi??
Kila kukicha tunazidi kupunguza nafasi kuwafikia.
Bado nafasi 8 tu tuwafikie.
Mind you hapo kuna nchi mmezipita hazijacheza mechi zao kama Tajikistan.
Wakishinda sijui mtaweka wapi makalio yenu.
 
Mko mbele yetu kwenye kipi, rank za timu ya taifa huwa ni za muda tu na hazina uhalisia, haiwezekani uwe na ligi bora alafu usiitwe football nation kisa rank za CAF zinasema Burundi yupo juu yako na viwanja vyao vile, sisi tuna ligi bora Afrika kuliko nchi zote EA na pia tuna viwanja vzr kuliko nchi zote EA huwezi kutukaribia hata chembe, achana na rank za uongo na kweli, nchi haishiriki Afcon inakuaje mbele ya nchi inayoshiriki Afcon na kuwa na clubs shindani hapa Afrika. Hamtukaribii hata chembe.
Uhalisia zinazo mkuu tuwapongeze.
Wamepanda nafasi baada ya kushinda mechi ya Afcon qualifier.
Shida inakuja kuna nchi hapo katikati hazijacheza.
Pia aombee asifungwe kwenye kundi lake la Afcon,maana ana timu ngumu kwenye kundi lake.
 
Ulituzidi nafasi ngapi??
Kila kukicha tunazidi kupunguza nafasi kuwafikia.
Bado nafasi 8 tu tuwafikie.
Mind you hapo kuna nchi mmezipita hazijacheza mechi zao kama Tajikistan.
Wakishinda sijui mtaweka wapi makalio yenu.
Tuliwazidi nafasi tano
 
Back
Top Bottom