Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara kama hizi will take Tanzania 100yrs to build.

View attachment 3097915
1726523266501.png

The only CAF approved stadium in east Africa.sasa hiyo yenu iliyopigwa pin ndo ulinganishe na mkapa
 
GOK. Najua unaumia lakini hivo ndio iko and you can’t change it.

Talanta is owned by Kenya😂😂🤣👇👇👇

View attachment 3097912
nioneshe sehemu gvt ikitoa hata shs 1 kumpa mchina mm nifunge acc sasa hvi😂😂

ajabu mpaka leo hamujui cost ya talanta 😂😂😂 prove me wrong

na ukitaka kujua ni pesa ya mchina mpaka mabango yanaandikwa kichina


 
Ndio hili sasa, dereva anajiamini kabisa, maanake, anafika Njombe.........
Njombe kwenye vumbi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hata lami moja tu hamna!!!!! Aisee
View attachment 3093020View attachment 3093021
Sasa unaongea nini mkuu Njombe Iringa Kuna lami,Njombe- Songea lami,Njombe- Iringa lami,Njombe - Makete lami,Njombe -Lami partly completed and in construction.
 
Back
Top Bottom