Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
GOK. Najua unaumia lakini hivo ndio iko and you canโt change it.who own talanta???๐๐๐๐๐
Talanta is owned by Kenya๐๐๐คฃ๐๐๐
GOK. Najua unaumia lakini hivo ndio iko and you canโt change it.who own talanta???๐๐๐๐๐
Masinde Muliro ndio level ya hiyo stadium yenu ya Arusha๐๐๐hebu tuoneshe tucheke ๐๐๐๐๐
Kwani kuna shida? Hii picha ingepigwa Dar kitu ungekuwa unaona saa hii ni uswazi kila upande ๐๐umesahau na CBD pamoja na westland yote inaonekana vzr kabisa au ww huoni๐๐
Watakwambia FIFA inawatambua not CAF, while CAF ni FIFA AFRICA CONFEDERATION MEMBER, President wa CAF ni Vice-president FIFA.View attachment 3097909
hawa walishapigwa ban 2021 viwanja vyao kutotumika tena sababu kibao ziliwekwa mpaka leo walikuwa hawaja umodify sasa leo wanatoka huko kuja kujitapa hapaBlow as CAF bans Kenyaโs main stadia Kasarani, Nyayo
NAIROBI, Kenya, Oct 29 โ Kenyaโs main stadia Moi International Sports Center Kasarani and Nyayo have been banned by the Confederation of African Football (CAF) from hosting international matches. Thisโฆwww.capitalfm.co.ke
Nyamaza mko na flyover mbili pekee nchi nzima๐๐๐คฃHako ka flyover mkopo from spain GDP hiyo kubwa kuliko TZ imekuaje tena?
Iwekw hapa kijana.Masinde Muliro ndio level ya hiyo stadium yenu ya Arusha๐๐๐
Mbili?Nyamaza mko na flyover mbili pekee nchi nzima๐๐๐คฃ
Masinde Muliro bado haijamalizwa. Na ikimalizwa it will be better than the Arusha Stadium.Iwekw hapa kijana.
Una mdomo sana, as we speak hakuna functioning stadium huko ukunyani inayoweza hold competition.
Unabisha iulize Harambee stars why inazurura na kuna Muliro stadium?
Maliza na Talaka kwanza.
Mko na flyover mbili pekee nchi mzima๐๐๐คฃMbili?
Baadae wakianza kuandaa finance bill nyingine tusione mnaanza kuremba kiingeraza eti democrazy
According to you?
Weka hata Render kijanaMasinde Muliro bado haijamalizwa. Na ikimalizwa it will be better than the Arusha Stadium.
Masinde Muliro during Holiday Celebration.Weka hata Render kijana
Una Wazimu. WTF is this?Masinde Muliro during Holiday Celebration.
They are currently putting roof and installing seats.
View attachment 3097916
Una Wazimu. WTF is this?
Miaka ya 2024 mnajenga vitu vya 1990s?
Ndio Mnangoja kujenga kama hiyo Arusha๐๐๐คฃ๐Una Wazimu. WTF is this?
Miaka ya 2024 mnajenga vitu vya 1990s?
Yani nyumba ya 11 floors imewashinda kujaza? Nimeanza kuona hiyo banner ya office to let for the past 6 yrs now since that building imalizwe kujengwa๐๐๐คฃ๐
๐ huo mstari huwa common sanaHawa majamaa hunifurahisha. Ukiona ameanza na ''nimebahatika kutembelea Kenya..............'' jua ni jaba inataka kumwagwa. ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
GOK. Najua unaumia lakini hivo ndio iko and you canโt change it.
Talanta is owned by Kenya๐๐๐คฃ๐๐๐
View attachment 3097912