Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1726570872020.png

bado tutaendelea kuwanyosha tu
 
Ju haiko bongoslum ni kejeli. Enda uskie vibaya na huko.
sasa sisi tuumie kuikosa kwani umeambiwa tunaitaka ? nyinyi huwa tunawaacha mnajifaragua halafu tunakuja kuwapiga knockout za maaana. rejerea tulicowafanya hoima, sgr, tunavoenda wapiga ngumi za chini kwenye bandari ya tanga baada ya kushusha wharfage kwa mzigo wa uganda tuone mtakavyohangaika
 
Back
Top Bottom