ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Unaweza kuta hapo alipo hajanunua Starlink na hana uwezo wa kununua.Saved.
Baadae tuone malalamiko sijui Safaricom.
Kenya ni soko huru.Saved.
Baadae tuone malalamiko sijui Safaricom.
Kwa hivyo wale wamenunua tu ndio wanafaa kuiongelea. You are very petty.Unaweza kuta hapo alipo hajanunua Starlink na hana uwezo wa kununua.
Na ikitokea amenunua ujue kuna shughuli zingine zitakuwa postponed maana uchumi binafsi hauruhusu kufanya vitu vingi kwa pamoja. 😂😂😂
Huna jeuri ya kuiongelea.Kwa hivyo wale wamenunua tu ndio wanafaa kuiongelea.
unaruhusiwa kuiongelea ila sio kwa kuleta kejeli hapaKwa hivyo wale wamenunua tu ndio wanafaa kuiongelea. You are very petty.
🤣 🤣 🤣 Pettiness detected, ukona machungu ju haipatikani bongoslum.Huna jeuri ya kuiongelea.
Ju haiko bongoslum ni kejeli. Enda uskie vibaya na huko.unaruhusiwa kuiongelea ila sio kwa kuleta kejeli hapa
sasa sisi tuumie kuikosa kwani umeambiwa tunaitaka ? nyinyi huwa tunawaacha mnajifaragua halafu tunakuja kuwapiga knockout za maaana. rejerea tulicowafanya hoima, sgr, tunavoenda wapiga ngumi za chini kwenye bandari ya tanga baada ya kushusha wharfage kwa mzigo wa uganda tuone mtakavyohangaikaJu haiko bongoslum ni kejeli. Enda uskie vibaya na huko.
🤣 🤣 🤣 Pettiness detected, ukona machungu ju haipatikani bongoslum.
Huyo ndiyo mkenya mwenye akili peke yake, akifuatiwa na Tony254254Umeshaanza kukubali?