Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nioneshe sehemu gvt ikitoa hata shs 1 kumpa mchina mm nifunge acc sasa hvi😂😂

ajabu mpaka leo hamujui cost ya talanta 😂😂😂 prove me wrong

na ukitaka kujua ni pesa ya mchina mpaka mabango yanaandikwa kichina


BUILD OPERATE TRANSFER 🤣🤣🤣🤣

Ila hapo kwa Talanta nahisi ni Deni, maana PPP haitarudisha anything. Labda wakaombe Competition ya Riadha.

Ila walisema uwanja hautakua na Running Track full football stadium.
 
nioneshe sehemu gvt ikitoa hata shs 1 kumpa mchina mm nifunge acc sasa hvi😂😂

ajabu mpaka leo hamujui cost ya talanta 😂😂😂 prove me wrong

na ukitaka kujua ni pesa ya mchina mpaka mabango yanaandikwa kichina


Hawajui how much it will cost na ndio mchina anapiga hapo hapo kumiliki uwanja for 100 years 🤣🤣🤣
 
BUILD OPERATE TRANSFER 🤣🤣🤣🤣

Ila hapo kwa Talanta nahisi ni Deni, maana PPP haitarudisha anything. Labda wakaombe Competition ya Riadha.

Ila walisema uwanja hautakua na Running Track full football stadium.
Lazima kuna shirika moja la serikali limekuwa attached kama collateral mchina harudishi hela hapo hata umpe miaka 50
 
BUILD OPERATE TRANSFER 🤣🤣🤣🤣

Ila hapo kwa Talanta nahisi ni Deni, maana PPP haitarudisha anything. Labda wakaombe Competition ya Riadha.

Ila walisema uwanja hautakua na Running Track full football stadium.
itakua ni loan lakini under heavy terms unaeza kuta wachina wamepewa hata bearth nne mombasa port wachukue pesa kwa miaka 20 😂😂😂😂
 
Hawajui how much it will cost na ndio mchina anapiga hapo hapo kumiliki uwanja for 100 years 🤣🤣🤣
watakwambia wamefanya iwe siri 😂😂😂
ajabu pesa za kuibiwa wanaeka hadharani ndio utagundua hawa watu wanalaana ya aina yake
 
yaan wanakopa eti kujenga flyover sasa sijui watalipaje madeni, halafu wanataka kulinganisha na nchi inayokopa kujenga irrigation schemes ili kurahisisha production, ile miradi ya maana imekufa wanakimbilia vitu vya showoff
Sisi tunakopa kuboresha afya, elimu, kilimo, uvuvi, miradi ya kimkakati kama umeme, maji, mass transit systems, ports, airports, marine transportation, rail and roads.
Wao sasa wanakopa kulipa mishahara, kulipa deni, kujenga flyovers kwa wenye magari, kujenga mini cities kwa matajiri, siasa na kula hela ya serikali 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom