Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The best SGR in East Africa ni ya Kenya then followed by Ethiopia. Reason being, they don't stall everyday.
Hakuna reli bora duniani ikawa inatumia jointed form of rail,ikawa inaleta hasara na ikawa inatumia outdated diesel engine kama Kenya.
 
Alikuja Tanzanuw na Ksh 60k akakuwa millionaire instantly 😂😂🤣
Ukiona hivyo Tanzania ni nchi ya neema na fursa nyingi.
Wekeza nguvu kiasi pia vuna pesa nyingi.
Sio kama Kenya unavujwa jasho mpaka damu ila hakuna unachopata.
Hicho hicho kidogo ukimalizie kwenye gharama kubwa za kimaisha.
 
Ungeweza hata kuyaambia hapo ni Dom na yangekubali 🤣🤣🤣🤣🤣
Na hapa nikiyaambia ni Morocco hayakatai 😂😂😂
Screenshot_20240911-151632.jpg
 
Back
Top Bottom