Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na hajui kama SGR yetu still iko kwenye trial yeye anaumia kwa kutafuta makosa ambayo lazima yajitokeze ili yafanyiwe usahihi 😂😂😂
Your trains ni mbovu bwana, mliuziwa mitumba😂😂🤣😂
 
Hivi hamna mabasi ya kwenda Njombe!?
View attachment 3092689
Kabla ya kupost uwe unafany research kdogo😂

Ukitaka nikuongeze kampuni nyingine tofaut tofaut kadri utakavyo sema🤣🤣
images (2).jpeg
 
7 times gani wewe au ukiongea uongo ndio furaha yako yet yetu bado iko kwenye trial period 😂😂😂😂

hvi mbona munaihofia sana tanzania
Trial gani ya mwaka moja bado mnafanya tu trials? Since official operation ianze hizo second hand trains zishakwama 7 times, Nangoja ya nane which I know will happen before end of this month😂😂🤣😂
 
Back
Top Bottom