The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Wacha kujidanganya, kibera mnaichukia lkn hakuna dalili yoyote ya kuondoka, kama unabisha niweke mapicha ya kibera kutoka Google sahizi, actually ma slums huko Kenya hayapo kibera tu, Kenya nzima imezungukwa na ma slums.