instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,602
- 19,781
Kazi kufuatilia matatizo ya nchi nyingine huku ya kwao yakiwashinda....
Hapa ni Nairobi Archives kila jioni...watu hupanga foleni hadi nyingine zinafika km 1. wakisubiri matatu zinazokuja moja moja kwa sababu ya foleni kwenye Barabara za Nairobi....
Hilo eneo la Archives halinaga Taa za mwanga ni full giza ukikaa vibaya unaibiwa...
Watu wengine husimama hata masaa 5 hapo hapo....kutwa kukoment mitandaoni...We have the best infrastructure in East Africa 😂😂...
Sisi Dar tuko na BRT zetu, daladala kibao...na tunapambana kuziboresha kila siku na expansion zake zinaendelea sehemu nyingi...kila kitu kinachangamoto lakini at least serikali inazitatua moja baada ya nyingine....ni juzi tu hapa wameleta matumizi ya kadi...ni kuscan tu na kuingia kwa station...
November mabasi zaidi ya 200 yanaongezwa...
Lakini kenya no hope and there is no solution going on kusolve hii problem
Hapa ni Nairobi Archives kila jioni...watu hupanga foleni hadi nyingine zinafika km 1. wakisubiri matatu zinazokuja moja moja kwa sababu ya foleni kwenye Barabara za Nairobi....
Hilo eneo la Archives halinaga Taa za mwanga ni full giza ukikaa vibaya unaibiwa...
Watu wengine husimama hata masaa 5 hapo hapo....kutwa kukoment mitandaoni...We have the best infrastructure in East Africa 😂😂...
Sisi Dar tuko na BRT zetu, daladala kibao...na tunapambana kuziboresha kila siku na expansion zake zinaendelea sehemu nyingi...kila kitu kinachangamoto lakini at least serikali inazitatua moja baada ya nyingine....ni juzi tu hapa wameleta matumizi ya kadi...ni kuscan tu na kuingia kwa station...
November mabasi zaidi ya 200 yanaongezwa...
Lakini kenya no hope and there is no solution going on kusolve hii problem