Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivo akipost basi la Kenya ni umaskini, nyinyi mkipost basi la Tanzania ni utajiri? Unafiki.
downloadfile-35.jpg

Unazungumzia mabus haya?
 
Unazungumzia historia!!??
Hata Barcelona kabla haijafungwa 8-2 na Bayern Munich mechi ya mwisho kabla Barcelona alimfunga Bayern 3-1.
Tizama current performance sio historia.
There is no East Africa capable of defeating Gor Mahia and that’s the truth😂😂🤣
 
There is no East Africa capable of defeating Gor Mahia and that’s the truth😂😂🤣
Unaongea ujinga kama kawaida yako.
Gormahia ya ngapi katika viwango vya CAF!?
Mechi yenu ya preliminary stage si mmefungwa 1-0 na Merreikh ya Sudan kusini!?
Sudan kusini haipo East Africa?Au ipo West Africa?
Ndio ujue history doesn't matter.
Katimu hakaeleweki kutoka Sudan kamewalamba 1-0.
 
Unaongea ujinga kama kawaida yako.
Gormahia ya ngapi katika viwango vya CAF!?
Mechi yenu ya preliminary stage si mmefungwa 1-0 na Merreikh ya Sudan kusini!?
Sudan kusini haipo East Africa?Au ipo West Africa?
Ndio ujue history doesn't matter.
Katimu hakaeleweki kutoka Sudan kamewalamba 1-0.
Kwani hiyo timu ya South Sudan ishatowa Gor Mahia? Wewe ngoja uone vile kesho watanyoroshwa mabao.
 
Kweli Africa ni Africa tu, Naona hapa Azam na APR uwanja wa Amahoro wa juzi pitch ishageuka viraka not smooth, Maintenance ni janga Africa.

Sipati picha Simba na Yanga wakiwa na viwanja vyao kwa Mkapa patakuwaje, Maana hizo clubs mbili zinafanya Serikali ilazimike kufanyia matengenezo kila mwaka kukidhi CAF standards
I don’t know what’s usually the problem of African countries. Imagine this is how those beautiful stadiums in Cameroon that hosted AFCON looks like currently.

The terraces looks like it has never been used for 20yrs now

1724543379467.jpeg

1724543410950.jpeg

1724543452222.jpeg


Look how pitch looks like
1724543535903.jpeg


They couldn’t even manage to maintain athletics tracks
1724543803443.jpeg
 
I don’t know what’s usually the problem of African countries. Imagine this is how those beautiful stadiums in Cameroon that hosted AFCON looks like currently.

The terraces looks like it has never been used for 20yrs now

View attachment 3078462
View attachment 3078463
View attachment 3078464

Look how pitch looks like
View attachment 3078466

They couldn’t even manage to maintain athletics tracks
View attachment 3078468
Kundudweller Umechanganyikiwa
 
Hakika sijaona hata mmojawapo wa Watanzania hawa akivaa koti kubwa oversize la mtumba kama wakunya kina Teargas .
bila shaka kwa mwonekano wa abiria hawa wa Train hizi za Kisasa zaidi Africa mashariki na kati ni wazi watanzania wanajiweza kiuchumi na pia vichwani wako sophisticated. Nami natafuta kasafari ka dom kasiko na agenda nikamwagilie moyo makao makuu ya nchi . Nitupie viwalo vya world class kwenye usafiri world class . Looks like hapa jukwaani ni mimi pekeangu sijadandia usafiri huu wa kinyamwezi.
Tuko wengi mkuu na mimi nataka nikapige maji Dom weekend moja nije kulala Dar kwasababu speed ya treni inaruhusu 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom