Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Najua unaumia sn ila vumilia, mm contawa sio wa kunitisha na H.I.V wakati dawa naijua, baki humu na buti la SGR na shati lako la mtumba, alafu angalia kono ilo, kuanzia leo nakuita makono 👇👇🤣🤣🤣View attachment 3078071 hapo chini pia kono likaonekana, mkono mgumuuu👇👇🤣🤣🤣View attachment 3078068
Mikono ya aina hii hupatikana kwa casual labourers na handymen
 
Bus Production serious hiyo lugha yenu nayo ni chenga au?

Why hizo basi zisizagae Kenya nzima cha ajabu ni za kutafuta. Kwingine ni "GARI BAYAAA? BABAKO ANALO?"


PROBOX inazipiku Bus as mode of transportation huko Ukunyani alafu unatupigia eti Production hata hujui maana yake
Just accept the truth there is no bus building in Tanzania, pesa zote mnabeba na kupeleka China. Hadi jina la basi mnaandikiwa na wachina😂😂🤣.
 
Mbona watanzania hawapendi kuambiwa ati hawana any bus building factory in Tanzania? Pesa zao zote wanapeleka Kenya na China. Hadi jina la basi hawaezindika, lazima wawandikiwe na mchina😂😂🤣
 
Mbona imepauka hivyo au ulitoka kuvaa latex gloves ukaosha mikono na 70% alcohol. Just curious though 😁
Kama unataka kuona mikono yangu just say. My hand is softer than 99% of Tanzanians in this thread😂🤣
 

Kundudwellers kama kawaida yenu. Kipigo hiki mnakionaje? vijana kutoka Kundustan

1724525126255.png
 
Burundi pia ni nchi ya kupigia kelele? Mbona Azam hawangefunga hile timu ya Rwanda?😂😂🤣
Kumbuka APR ni bingwa wa Rwanda.
Hata ninyi Gormahia mngekutana na APR msingefua dafu.
APR ina experience kipindi cha miaka hii mitatu minne kwa kushiriki michuano tofauti tofauti.
 
Kumbuka APR ni bingwa wa Rwanda.
Hata ninyi Gormahia mngekutana na APR msingefua dafu.
APR ina experience kipindi cha miaka hii mitatu minne kwa kushiriki michuano tofauti tofauti.
The last time Gor played that APR😂😂🤣👇👇

1724528280662.jpeg
 
Back
Top Bottom