The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Unakesha kwenye media za Tanzania mpaka unaiba misemo ya Tanzania.Wewe kama mtanzakundu huogopi👇View attachment 3077379
Unakesha kwenye media za Tanzania mpaka unaiba misemo ya Tanzania.Wewe kama mtanzakundu huogopi👇View attachment 3077379
Uchale huu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Naona mpaka BRT lane, wewe huogopi?? 😘😘😘View attachment 3077381View attachment 3077382View attachment 3077383
That means you're our Malawi. Mombasa is full of Tanzanian house girls. Nairobi is full of Ugandan, Rwandan and Burundian house girls.Malawi wanazungumza kingereza kizuri lakini wasichana wao wengi wanafanya kazi za ndani hapa bongo "house geli".
Unakutana na "house geli" anabonga kingereza kimenyooka. 😂😂😂
Gofu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii AFCON tunaitaaka pekeyetu, hujaogopa mpaka sasa ??😎View attachment 3077416
Wewe jamaa wa virusi bwana mbona hutaki kuenda hospitali? Unangoja kuambukiza watu ukimwi ndio huanze kutibiwa?😂😂🤣Buti la SGR, alafu angalia hiyo shati kubaabake 👇 👇 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 View attachment 3078039
I see kijana kwa kujifurahisha uko vizuriLigi ya Tanzania haijaiuza mtu pesa hiyo😂😂🤣
Wale wa kubebwa ufala!
View: https://x.com/city_digest/status/1826676235201908826
See cancer center of Excelency!
CC: Teargas et al!
Wee huoni kama ulaya hapa 👇 👇Ndio vilaza wanatoka porini pole pole., bado wako vichakani, wasamehe hawajazoea wanaona ni ulaya eti🤣🤣🤣🤣
Nyinyi ndio mnapigania mambo ya bus companies. Sisi tunaongelea bus production which is not happening in Tanzania😂😂🤣. Kama kuna any bus production going on in Tz Ebu tuonyeshe the latest imetolewa lini.Kwamba Bus ndio mnapigiziana kelele?
Kuna nchi haina Organization ya public transportation inalinganishwa na Nchi yenye Modern and advanced public transportation.
Bus za kuchagua toka kampuni 3-4 vs Bus from 500 companies.
Nchi ambayo sehemu nyingine ni Fuso imechongwa?
While nchi nyingine kila routes same level.
Nipe mkoa ambao hauna Dedicated Bus companies?
Hao wanaobeza wachina je, wanajua kua kuna Companies za Bus zina Kabisa mkataba na kiwanda kutumia Basi zao tu kwa FLEET na kuwapa dealership privileged, hivyo kuwaungia wengine kununua.
Can they manage?
Au ndio waombe engine wachonge body?
Toka huko kibera kijana mbona Singida Black Stars au Namungo wanaweza wapa mkaleta mtu akiwika unaanza ita REJECT ili mradi roho yako isuuzike.Nyinyi mshaiuza player pesa ngapi? Remember Kariobangi Shark ni timu ndogo sana Kenya.
Una umasikini si wa dunia hii, bila shaka ulipokua mtoto mkikaanga chapati unazunguka nayo mtaa mzima unakula 😂😂😂😂
Hii picha hunichekesha sana.😂😂
Huyo jamaa kuna comment zingine huwa nacheka sn, yani ana maneno ya kifukara mnooo, kuna muda mpaka nacheka, inawezekanaje mtu akafikiria kitu kama hiki, hayo maneno huwa nawasikia walalahoi (wanajiitaga hivyo) nahisi jamaa ametoka familia ya kimaskini sn na ndiyo maana mpaka leo hajui kuvaa licha ya kusema kapata kazi lkn angalia nguo anazovaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Una umasikini si wa dunia hii, bila shaka ulipokua mtoto mkikaanga chapati unazunguka nayo mtaa mzima unakula 😂😂😂😂
Show us your league biggest sell😂😂🤣Toka huko kibera kijana mbona Singida Black Stars au Namungo wanaweza wapa mkaleta mtu akiwika unaanza ita REJECT ili mradi roho yako isuuzike.
Ligi nzima njaa kali
Hii ambayo ni halisi haikuchekeshi, unajifanya kucheka picha ya mnyama i'm 100% sure hii ndiyo picha inayokuchekesha👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii picha hunichekesha sana.😂😂
Hakika sijaona hata mmojawapo wa Watanzania hawa akivaa koti kubwa oversize la mtumba kama wakunya kina Teargas .Napenda jinsi watanzania wanavyovaa smart wakitumia SGR.
World class infrastracture zinasababisha hata watu wavae kiworld class