Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si hizo pia mnanunua. From Kenya and being exported to Tanzania 😂😂👇👇


View: https://x.com/BusesNation/status/1826678122647044346

Nimepatana na zingine plain white za Banbros Leo pale Salama kama zimefuatana nikitoka Mombasa. Nadhani either zinaelekea Mombasa ama Vumbistan.

PXL_20240824_055012844.MP.jpg
 
Nimepatana na zingine plain white za Banbros Leo pale Salama kama zimefuatana nikitoka Mombasa. Nadhani either zinaelekea Mombasa ama Vumbistan.

View attachment 3078580
Hili ni gari au mkokoteni? Unashindwa kusafisha gari utaweza kweli kujadiliana na sisi?

Hii Isuzu haipati hata maji. Naona ha AC yake ni shida

1724568271457.png
 
Kweli Africa ni Africa tu, Naona hapa Azam na APR uwanja wa Amahoro wa juzi pitch ishageuka viraka not smooth, Maintenance ni janga Africa.

Sipati picha Simba na Yanga wakiwa na viwanja vyao kwa Mkapa patakuwaje, Maana hizo clubs mbili zinafanya Serikali ilazimike kufanyia matengenezo kila mwaka kukidhi CAF standards
Nilishangaa sana aisee kuona uwanja upo vile, uwanja ambao wakundustan huwa wanaufananisha na mkapa, yani tukiwapiga kwenye stadium wanakimbilia amahoro kwamba eti unalingana na mkapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hili ni gari au mkokoteni? Unashindwa kusafisha gari utaweza kweli kujadiliana na sisi?

Hii Isuzu haipati hata maji. Naona ha AC yake ni shida

View attachment 3078587
Bro, sisi hatutembei kwa gari moja tuu, magari ni mengi. Hili ni gari langu la kazi, sii la starehe. Mimi nina kampuni ya ujenzi na ninapotembelea site zangu za ujenzi mimi hubeba material nawapelekea mafundi. Hili ni gari linalopitia rough road na kufanya kazi nyingi na ninalipenda sana maana ni gari very strong and reliable. Picha yake kwa nje hii hapa. Wewe endelea kuomba Pastor wako lift kwa Toyota Vits.

PXL_20240819_083156105.jpg

PXL_20240616_130132977.jpg
 
Bro, sisi hatutembei kwa gari moja tuu, magari ni mengi. Hili ni gari langu la kazi, sii la starehe. Mimi nina kampuni ya ujenzi na ninapotembelea site zangu za ujenzi mimi hubeba material nawapelekea mafundi. Hili ni gari linalopitia rough road na kufanya kazi nyingi na ninalipenda sana maana ni gari very strong and reliable. Picha yake kwa nje hii hapa. Wewe endelea kuomba Pastor wako lift kwa Toyota Vits.

View attachment 3078642
View attachment 3078643
Haiondoi kuwa gari ni chafu na inaonesha kuwa wewe ni mchafu sana. Just kusafisha ndani kwa kutumia kitambaa tu unashidwa?

Issue ya kuwa na company and so on hayo ni private life yako we don't care.

Hiyo ni Isuzu kama niliyosema.

Uniogoepe
 
Bro, sisi hatutembei kwa gari moja tuu, magari ni mengi. Hili ni gari langu la kazi, sii la starehe. Mimi nina kampuni ya ujenzi na ninapotembelea site zangu za ujenzi mimi hubeba material nawapelekea mafundi. Hili ni gari linalopitia rough road na kufanya kazi nyingi na ninalipenda sana maana ni gari very strong and reliable. Picha yake kwa nje hii hapa. Wewe endelea kuomba Pastor wako lift kwa Toyota Vits.

View attachment 3078642
View attachment 3078643
Huku zinauzwa bei chee sana hizo kijana

1724574252136.png
 
Bro, sisi hatutembei kwa gari moja tuu, magari ni mengi. Hili ni gari langu la kazi, sii la starehe. Mimi nina kampuni ya ujenzi na ninapotembelea site zangu za ujenzi mimi hubeba material nawapelekea mafundi. Hili ni gari linalopitia rough road na kufanya kazi nyingi na ninalipenda sana maana ni gari very strong and reliable. Picha yake kwa nje hii hapa. Wewe endelea kuomba Pastor wako lift kwa Toyota Vits.

View attachment 3078642
View attachment 3078643
Siku hizi tunapiga hawa wachawi mangumi mazito zito 😂😂🤣😂. Ushaihumdua wenye wanapiga kelele hapa hata baiskeli hawana?😂

Again it’s good huko hapo Delta Corner, ebu piga hiyo barabara ya chini picha uonyeshe hawa wachawi kwamba that broken road wamekuwa wakipost here is no longer there.
 
Back
Top Bottom