Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Cheki hizo rapid development in Dodoma 👇🏾View attachment 3077474View attachment 3077476au unajifanya kipofu eeh.? 😂😂😂
Rapid development na hazina faida mwafaka kiuchumi, apartments na barabara ndio development eti🤣🤣🤣🤣😅, Tatu city iko na revenue kwa mwezi zaidi ya hayo majengo unakurupuka nazo humu.., ama Kunazo zenye zinaleta faida kwa uchumi?.., mnazitoza ushuru? Ni biashara gani zinafanya?.., ni viwanda?.., boss niondolee ujuha kalulu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣., nenda ukatekenye size yako kule vijiweni mchekeshane wenyewe kwa uboya wenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Rapid development na hazina faida mwafaka kiuchumi, apartments na barabara ndio development eti🤣🤣🤣🤣😅, Tatu city iko na revenue kwa mwezi zaidi ya hayo majengo unakurupuka nazo humu.., ama Kunazo zenye zinaleta faida kwa uchumi?.., mnazitoza ushuru? Ni biashara gani zinafanya?.., ni viwanda?.., boss niondolee ujuha kalulu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣., nenda ukatekenye size yako kule vijiweni mchekeshane wenyewe kwa uboya wenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe sikuhizi nyumba na barabara sio development, nilikua sijui 😂😂😂😂 au umepata moja moto moja baridi.?
 
Rapid development na hazina faida mwafaka kiuchumi, apartments na barabara ndio development eti🤣🤣🤣🤣😅, Tatu city iko na revenue kwa mwezi zaidi ya hayo majengo unakurupuka nazo humu.., ama Kunazo zenye zinaleta faida kwa uchumi?.., mnazitoza ushuru? Ni biashara gani zinafanya?.., ni viwanda?.., boss niondolee ujuha kalulu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣., nenda ukatekenye size yako kule vijiweni mchekeshane wenyewe kwa uboya wenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna mtu kasema nikuulize eti hizo viwonder za tatu city zina contribute kwa mwezi sh ngapi vile.? 😂😂😂
 
Ww kundudweller ushawahi kufika TZ?ukiondoa naikundu ni mji gani huko kundudweller unaufikia mwanza?
Yaani kabisaa unataja Mwanza Kijiji lenye muonekano wa kuchoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwendawazimu mwingine huyu hapa🤣🤣🤣🤣, nikiongeza kwa orodha ya The best 007 kama chief.., na mjukuu Sama boy 255 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., MWANZA!!., 🤣🤣🤣🤣🤣.,
 
Kumbe sikuhizi nyumba na barabara sio development, nilikua sijui 😂😂😂😂 au umepata moja moto moja baridi.?
Just show me income zinazoleta kwa uchumi wa Dodoma sasa hivi?.., mtakodisha? ama?..,🤣🤣🤣🤣🤣🤣., Dodoma ni aesthetics tu, faida ni kidogo or almost zero kutoka kwa hizo apartments mnajenga eti city🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tembelea Tatu city, fanya utafiti ya mapato ya kila company inayofanya kazi pale Kisha uje.., Dom ni white elephant, hii itakua kama Abuja Nigeria🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kumbe sikuhizi nyumba na barabara sio development, nilikua sijui 😂😂😂😂 au umepata moja moto moja baridi.?
Just show me income zinazoleta kwa uchumi wa Dodoma sasa hivi?.., mtakodisha? ama?..,🤣🤣🤣🤣🤣🤣., Dodoma ni aesthetics tu, faida ni kidogo or almost zero kutoka kwa hizo apartments mnajenga eti city🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tembelea Tatu city, fanya utafiti ya mapato ya kila company inayofanya kazi pale Kisha uje.., Dom ni white elephant, hii itakua kama Abuja Nigeria🤣🤣🤣🤣🤣
 
Daily dose

No photo description available.
The only project in Ukunyani currenly underway n progressing in accepted speed!
 
Kuna mtu kasema nikuulize eti hizo viwonder za tatu city zina contribute kwa mwezi sh ngapi vile.? 😂😂😂
Mwambie atembelee Tatu na kukagua kila biashara pale., na kazi zinazo fanya na idadi ya watu walio andikwa kazi kwa kila sector pale.., na revenue! Uzembe ni laana, asiogope ajikaze atapata jibu.
 
Yaani kabisaa unataja Mwanza Kijiji lenye muonekano wa kuchoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwendawazimu mwingine huyu hapa🤣🤣🤣🤣, nikiongeza kwa orodha ya The best 007 kama chief.., na mjukuu Sama boy 255 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., MWANZA!!., 🤣🤣🤣🤣🤣.,
downloadfile-235.jpg
downloadfile-129.jpg

Umekula kwanza ww mkundudweller
 
Ya Kenya iko break, that's clear Ilisimama, sio kama yenu inajengwa usiku na mchana na haisongi, ata kwa sasa haijafikia zile kilometers Kenya imejenga na bado eti mnajenga zaidi ya miaka yenye Kenya ili tumia kujenga na bado🤣🤣🤣🤣.., boss nimewadharau sana haubadilishi lolote., kha!!! , mnanuka ufukara, taifa nyonge raiya hovyo., mko down sana, hapa mnajitekenya tu, hamna lenyu!.,
We unaropoka nini??
Umelewa ama.
TRC SGR imejengwa zaidi ya kilometa 700 ni bado station tu baadhi ya maeneo hazijakamilika.
Kutoka Dar mpaka Makutupora ni zaidi ya kilometa 480.
Na treni ya umeme inafanya kazi hadi Makutupora.
Ninyi miaka yote mmejenga kilometa zisizozidi 500 hadi sasa.
Sisi tunaelekea Mwanza huko huku vituo vikijengwa taratibu.
TZ sio size yenu.
Mbaya zaidi mlivyo mapang'ang'a mmejenga sgr ya jointed rail karne hii aisee.
Aliyewaroga sijui ni nani.
 
Back
Top Bottom