Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Mnaleta wazee kwenye michuano ya watoto,leteni the same age kama tunavyoleta sisi muone mtakachokipata
Sasa hivi Tanzania watoto wako shule wanasoma. Nyie mmepeleka wazee wa miaka 30
Ya Kenya iko break, that's clear Ilisimama, sio kama yenu inajengwa usiku na mchana na haisongi, ata kwa sasa haijafikia zile kilometers Kenya imejenga na bado eti mnajenga zaidi ya miaka yenye Kenya ili tumia kujenga na bado🤣🤣🤣🤣.., boss nimewadharau sana haubadilishi lolote., kha!!! , mnanuka ufukara, taifa nyonge raiya hovyo., mko down sana, hapa mnajitekenya tu, hamna lenyu!.,Sgr ya kenya mpaka leo haijafika malaba mtoto aliyezaliwa wakati huo ana miaka 12 darasa la 6 bado mnajenga tuu🤣🤣🤣🤣
Kumbe mnafuatilia mpira wetu sana "wewe huogopi" ubaya ubwela tuu haogopi mtu hapa 😁Wewe huogopi hii bypass ya Mombasa- Diani 🚧🚧View attachment 3077385View attachment 3077386View attachment 3077387View attachment 3077388
Nyie mkiuza mabasi saba ambayo ni faida kwa matajiri na wenye viwanda na sisi tukiwauzia mahindi tani laki 3 ni bei gani na ni faida kwa watanzania wangapi?Hao wakituuzia mahindi gunia mbili wanapiga kelele kweli kweli while sisi tunawauzia mabasi, malori na some Toyota cars😂😂🤣
Hawa wapumbavu huwa wanatweza sana vita ya majimaji iliopiganwa kwa zaidi ya miaka mitatu nchi nzima na kupelekea wajerumani kupoteza maisha na mali nyingi sana kwa kusema wazee wetu hawakua na akili ila baada ya kuona wajerumani wanafanya hivi kwenye comments eti wanawasifia watanzania, hawa watu wapumbavu sana hawajahi miliki akili hata 1 mbele ya Mzungu
View attachment 3077378
View: https://x.com/LarryMadowo/status/1827008520283447679?t=wz_NTIR9WOzYRZAhB3UEaw&s=19
Kwani mimi ni mganda? Remember hawa wazee ni watanzania😂😂🤣👇👇👇View attachment 3077463
Mnaleta wazee kwenye michuano ya watoto,leteni the same age kama tunavyoleta sisi muone mtakachokipata
😂😂😂kumbe keny imetengeneza km ngapi vile.? 😂😂😂Ya Kenya iko break, that's clear Ilisimama, sio kama yenu inajengwa usiku na mchana na haisongi, ata kwa sasa haijafikia zile kilometers Kenya imejenga
Sasa utafanisha quality ya SGR ya tz na hiyo takataka ya mchina ya Kenya harafu msijisahau kujimilikisha vitu visivyokuwa vyenu hiyo sgr ni mchina kwa miaka 99Ya Kenya iko break, that's clear Ilisimama, sio kama yenu inajengwa usiku na mchana na haisongi, ata kwa sasa haijafikia zile kilometers Kenya imejenga na bado eti mnajenga zaidi ya miaka yenye Kenya ili tumia kujenga na bado🤣🤣🤣🤣.., boss nimewadharau sana haubadilishi lolote., kha!!! , mnanuka ufukara, taifa nyonge raiya hovyo., mko down sana, hapa mnajitekenya tu, hamna lenyu!.,
Wewe baboon bwana mbona unapiga kelele hapa?😂😂👇👇😂😂😂kumbe keny imetengeneza km ngapi vile.? 😂😂😂
Nikiwaambia Tanzania ni nchi ya jiji moja, Dar pekee, jiji lenye CBD moja, mnakasirika, ndio maana mmejazana kule karibia nyoote kutoka vijijini, matokeo ni uswazi kila eneo, yaani ni 80% ama zaidi ya jiji🤣🤣🤣🤣 jengeni tafadhali mjikomboe kutokana na aibu, na pia mjitume mpunguze omba omba kukuja Kenya.,Maendeleo ya dom itaifanya dar ipumue,natamani moro,arusha na tanga zipige hatua ili watu wapungue dar,mtu m 6 n.k kwenye mji mmoja ni wengi mno
Cheki hizo rapid development in Dodoma 👇🏾Nikiwaambia Tanzania ni nchi ya jiji moja, Dar pekee, jiji lenye CBD moja, mnakasirika, ndio maana mmejazana kule karibia nyoote kutoka vijijini, matokeo ni uswazi kila eneo, yaani ni 80% ama zaidi ya jiji🤣🤣🤣🤣 jengeni tafadhali mjikomboe kutokana na aibu, na pia mjitume mpunguze omba omba kukuja Kenya.,
Ww kundudweller ushawahi kufika TZ?ukiondoa naikundu ni mji gani huko kundudweller unaufikia mwanza?Nikiwaambia Tanzania ni nchi ya jiji moja, Dar pekee, jiji lenye CBD moja, mnakasirika, ndio maana mmejazana kule karibia nyoote kutoka vijijini, matokeo ni uswazi kila eneo, yaani ni 80% ama zaidi ya jiji🤣🤣🤣🤣 jengeni tafadhali mjikomboe kutokana na aibu, na pia mjitume mpunguze omba omba kukuja Kenya.,