Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fika mahali Kenya iko kwa sasa ndio uje.., tumewangoja sana.., SGR ya umeme working 200km stretch ya abiria na ka BRT tu sio kitu.., hamna lolote kwa Kenya bado.., jitahidi, hekaya za abunuasi nenda ukahadithie washamba wa kwenu
We kunguni.
Sgr Dar-Moro ni 320+kms.
Dar to Makutupora ni 480+kms.
Hizo 200km za nyokwe!??
 
We kunguni.
Sgr Dar-Moro ni 320+kms.
Dar to Makutupora ni 480+kms.
Hizo 200km za nyokwe!??
Dar- Moro 300km pekee.., passenger train, where is value for money?..., mnauwa mabasi eti uchumi hehehe.., no economic viability whatsoever, CCM PR gimick at the expense of tax payers money na mikopo kwa wingi, mifukara wa akili na mali hehehe
 
Dar- Moro 300km pekee.., passenger train, where is value for money?..., mnauwa mabasi eti uchumi hehehe.., no economic viability whatsoever, CCM PR gimick at the expense of tax payers money na mikopo kwa wingi, mifukara wa akili na mali hehehe
Tanzania is not small as Kenya. We care more about Citizens than Individuals.
Nashangaa Kundudweller analalamika but Bus Companies in Tanzania hawalalamiki ndio wananunua beautiful buses.


Stupid Kundudweler
 
Akili za kitanzania zimedua kweli.., tatizo sio kukopa but wanaangalia viability, what will be return on investment? makes sense when Uganda and Rwanda are roped in.., yaani akili mtu wangu sio kukurupuka kiholela., yenu imebeba mizigo tani ngapi?.., a white elephant project kwa vile mizigo zaidi ya 70% ya port ya Dar inabakia Dar.., kwingine ni vijiji tupu, train ya abiria haijawai kukuwa na faida duniani, business is in freight kilaza, nyie mko na mali kidogo sana ya kupeleka vijijini, SGR yenu haiwezi tengeneza faida kirahisi! Serikali ya washamba wanajenga ilimradi tu hawaelewi ni kwa nini, hawana lengo mwafaka haswa, wanajaribu kushindana na jirani hiyo ndio lengo.., masomo duni ni balaa kwa taifa na kuongozwa na mibongolala ni laana kuu!!
Huu ni waraka wa wakorintho 😂😂😂 mbona utusomee watanzania.? 😂😂😂.

Ni kama unaijua Tanzania sana, oky Nataka kujua more about our SGR.. go on bro..
 
Dar- Moro 300km pekee.., passenger train, where is value for money?..., mnauwa mabasi eti uchumi hehehe.., no economic viability whatsoever, CCM PR gimick at the expense of tax payers money na mikopo kwa wingi, mifukara wa akili na mali hehehe
Check watu wananunua new buses. Halafu wewe kutoka Kundustan unalalamika

1724484083405.png
 
Akili za kitanzania zimedua kweli.., tatizo sio kukopa but wanaangalia viability, what will be return on investment? makes sense when Uganda and Rwanda are roped in.., yaani akili mtu wangu sio kukurupuka kiholela., yenu imebeba mizigo tani ngapi?.., a white elephant project kwa vile mizigo zaidi ya 70% ya port ya Dar inabakia Dar.., kwingine ni vijiji tupu, train ya abiria haijawai kukuwa na faida duniani, business is in freight kilaza, nyie mko na mali kidogo sana ya kupeleka vijijini, SGR yenu haiwezi tengeneza faida kirahisi! Serikali ya washamba wanajenga ilimradi tu hawaelewi ni kwa nini, hawana lengo mwafaka haswa, wanajaribu kushindana na jirani hiyo ndio lengo.., masomo duni ni balaa kwa taifa na kuongozwa na mibongolala ni laana kuu!!
Kwaiyo kama ya Kenya haitengenezi faida na tz haitatengeneza faida?
 
Kwaiyo kama ya Kenya haitengenezi faida na tz haitatengeneza faida?
Ya Kenya inatengeneza faida kwa sasa! Freight na uongeze passenger! Nyie freight mtatoa wapi na ndio iko na percentage kubwa ya revenue? haujui uchumi wenu hafifu unaoishia Dar kwa percentage kubwa? hehehehe
1724485246427.png


Nyie mtatoa wapi 6 million tonnes ya cargo kupeleka hinterlands(ndani) ama kwingineko kama sio kubakia Dar., na haifiki hizo tonnes?
1724485330642.png

1724485344928.png
 
Ila wachina wanadharau hadi bango la mradi limeandikwa kwa kichina kwanini huu uhanithi hawafanyi Tz?
Kuandika Bango kwa kichina sio shida. Huwa mmekazana hiyo Stadium ni ya Mchina and yet nikileta proof ati ni ya GOK unakuja na mambo ya language used to write on the board😂😂🤣.

Ama vile Mchina aliwazawadi Makwapa Stadium sasa mnalazimisha Talanta pia iwe Ivo?😂
 
Kuandika Bango kwa kichina sio shida. Huwa mmekazana hiyo Stadium ni ya Mchina and yet nikileta proof ati ni ya GOK unakuja na mambo ya language used to write on the board😂😂🤣.

Ama vile Mchina aliwazawadi Makwapa Stadium sasa mnalazimisha Talanta pia iwe Ivo?😂
Kwahiyo unakubali GTC owned by Chinese?
 

Unajua maana ya kubebwa ufala kweli? ni ile mnakubali maneno ya mtu na hamuna uwezo wa kutofautisha propaganda na ukweli, in this by the fact it is being referred to as "story za jaba" (ama 'hadithi za vijiweni' kwa lugha yenu) tushamuumbua so hatubebwi ufala kama mnavyo bebwa na CCM, infact ni sisi huwa tunajaribu kuwachanua muone mnavyo bebwa ufala siku zote, ila mnajitoa ufahamu humu, ukweli hampendi.
 
Back
Top Bottom