Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa wapumbavu huwa wanatweza sana vita ya majimaji iliopiganwa kwa zaidi ya miaka mitatu nchi nzima na kupelekea wajerumani kupoteza maisha na mali nyingi sana kwa kusema wazee wetu hawakua na akili ila baada ya kuona wajerumani wanafanya hivi kwenye comments eti wanawasifia watanzania, hawa watu wapumbavu sana hawajahi miliki akili hata 1 mbele ya Mzungu

20240823_192455.jpg



View: https://x.com/LarryMadowo/status/1827008520283447679?t=wz_NTIR9WOzYRZAhB3UEaw&s=19
 
Mzee wa Sgr itapandwa na vitukuu vyetu😂😂😂 ulikimbia uzi. Juha wewe
Mmezeeka mkijenga SGR, mtoto anazaliwa msingi ukiwekwa sasa ako miaka saba, ilhali km chache iliwatoa jasho, taifa hovyo, uchumi hafifu, tafadhali fyata, nimewadharau sana🤣🤣🤣🤣
 
Mmezeeka mkijenga SGR, mtoto anazaliwa msingi ukiwekwa sasa ako miaka saba, ilhali km chache iliwatoa jasho, taifa hovyo, uchumi hafifu, tafadhali fyata, nimewadharau sana🤣🤣🤣🤣
Hopeful uliona kwamba treni zetu zinafika dodoma 😂😂😂 au haujaona mzee.?
 
Mmezeeka mkijenga SGR, mtoto anazaliwa msingi ukiwekwa sasa ako miaka saba, ilhali km chache iliwatoa jasho, taifa hovyo, uchumi hafifu, tafadhali fyata, nimewadharau sana🤣🤣🤣🤣
Sgr ya kenya mpaka leo haijafika malaba mtoto aliyezaliwa wakati huo ana miaka 12 darasa la 6 bado mnajenga tuu🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom