Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ugandans have also started constructing a new stadium in Hoima. Watanzania hata hawajui penye Arusha stadium itajengwa😂😂🤣


Stadium.

Image



Image



Image
 
Kwa wale wachawi walikuwa wanasema Talanta Stadium ni ya Mchina, someni hapo Alafu maendeLeo kulia zaidi😂😂


Someni hapo kwa proprietor 👇👇👇😂
1724449560986.png
 
Tanzania ni taifa linalojenga miradi yake kwa pesa za ndani zaidi ya 60%.
Huwa hatuegemei sana mikopo.
Ndio maana utakuta deni letu kwa GDP ratio ni dogo.
Tofauti na ninyi mna madeni mengi kiasi deni lenu kwa GDP ratio ni kubwa.
Halafu pia Tanzania huwa inafanya vitu kwa uhakika,ndio maana tukiunda mradi basi unakuja ukiwa kamilifu sio kama Kenya.
Karne hii mnajenga jointed railway kweli!??
Hizo si karne za ukoloni wa Germany 1880s!??
Nyambaff!.., hehehe., kwa pesa za ndani, manina zako!hehehehe.., fikra za vijiweni hizi
 
Kwanini kama nyie mnakopesheka kirahisi hamkukopa mjenge na kwanini hiyo garimoshi yenu inaishia porini kwanini msikope tena?
Akili za kitanzania zimedua kweli.., tatizo sio kukopa but wanaangalia viability, what will be return on investment? makes sense when Uganda and Rwanda are roped in.., yaani akili mtu wangu sio kukurupuka kiholela., yenu imebeba mizigo tani ngapi?.., a white elephant project kwa vile mizigo zaidi ya 70% ya port ya Dar inabakia Dar.., kwingine ni vijiji tupu, train ya abiria haijawai kukuwa na faida duniani, business is in freight kilaza, nyie mko na mali kidogo sana ya kupeleka vijijini, SGR yenu haiwezi tengeneza faida kirahisi! Serikali ya washamba wanajenga ilimradi tu hawaelewi ni kwa nini, hawana lengo mwafaka haswa, wanajaribu kushindana na jirani hiyo ndio lengo.., masomo duni ni balaa kwa taifa na kuongozwa na mibongolala ni laana kuu!!
 
Acha maneno. Leta project tufanye comparisons. Mnaandika maneno mengi mno
Fika mahali Kenya iko kwa sasa ndio uje.., tumewangoja sana.., SGR ya umeme working 200km stretch ya abiria na ka BRT tu sio kitu.., hamna lolote kwa Kenya bado.., jitahidi, hekaya za abunuasi nenda ukahadithie washamba wa kwenu
 
Fika mahali Kenya iko kwa sasa ndio uje.., tumewangoja sana.., SGR ya umeme working 200km stretch ya abiria na ka BRT tu sio kitu.., hamna lolote kwa Kenya bado.., jitahidi, hekaya za abunuasi nenda ukahadithie washamba wa kwenu
We naye wacha ngonjera weka express way ya mchina ukitoka hapo weka na GTC za mchina alafu malizia na vi apartment nzee kwisha habari yako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom