Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukiwaambia Kunyaland hakuna mafundi, mafundi lazima watoke Tanzania wanabisha


View: https://x.com/sedecbuilders/status/1825906373072179419?t=yYrYOWLtZsSjqusZhtzesQ&s=19
Screenshot_20240821-054301.jpg
 
Yani kaka huko mbali,kitendo cha mtu kusema kiswahili kimeanzia Lamu kabla Lamu haijawa mji ni kichekesho tosha😂😂😂😂.
Huwa inachekesha sana kuona mjinga akiita wenzie wajinga bila kuona ujinga wake. Nani kakwambia lugha huanzia mjini? Hivi hujui lugha ndio chanzo cha mji? Hivi hujui miji mingi duniani imeanzishwa na lugha? Niambie wee Msukuma, kisukuma kimeanzishwa na mji gani kama unadhani mji ndio huanzisha lugha? Hizo Kilwa na Zanzibar zote zimeanzishwa na lugha ya Kiswahili. Bila Kiswahili hakungekuwa na Kilwa wala Zanzibar.
 
Huwa inachekesha sana kuona mjinga akiita wenzie wajinga bila kuona ujinga wake. Nani kakwambia lugha huanzia mjini? Hivi hujui lugha ndio chanzo cha mji? Hivi hujui miji mingi duniani imeanzishwa na lugha? Niambie wee Msukuma, kisukuma kimeanzishwa na mji gani kama unadhani mji ndio huanzisha lugha? Hizo Kilwa na Zanzibar zote zimeanzishwa na lugha ya Kiswahili. Bila Kiswahili hakungekuwa na Kilwa wala Zanzibar.
Wwe jamaa ni mpumbavu, hizi vitu unaongea ni taaluma za watu, kwa historia ya lugha ya kiswahili mpaka tunavyokuanacho hiv sasa ni dhahiri shahiri miji ilianza kabla ya lugha..

Ever heard of pidgin or creole .? Zamani kulikuwako na lugha zinaitwa lugha za kibantu, all the communities were speaking different kutoka jamii moja na nyingine, walivyokutanishwa na biashara be it batter trade or whatever, ndio kupatikana kwa hizo zenye wanaita pidgin (language generated after the interaction of two different language speakers) taratibu kiswahili kikaanza kupatikana baada ya kuokoteza misamiati mipya from all those different speakers, the ikapatikana creole (the developed pidgin)

Baadae kukomaa kwa lugha iliyopatikana kutokana na interaction za watu tofauti zilizosababishwa na biashara n.k then the first developed kiswahili speaking community ni Kilwa.

Why we claim kiswahili is ours (Tanzanian language)

Studies zimefanywa na wasomi, maneno mengi ya kiswahili 60% ni kiunguja, 30% kiarabu, 10% of kiswahili words ndio kimetoka kwenye hizo dialects zingine.

Shida ni elimu yako ndogo, halafu unataka kujadili vitu huvijui, wewe ni mpumbavu. 😂😂😂 NairobiWalker tuliza tako wewe ni underdog.
 
Make no mistake vumbistan wana consume sana media zetu, unapata wanaangalia habari za Citizen badala ya TBC. Unakuta wanajua county zetu zote 47 na majina ya ma governors. Kuna siku citizen waliweka headline ya ukaidi wa magufuli dah balaa, embassy yao walikuja na hasira kwamba wamedhalilishwa 😂😂
Huko kwao radio na Tv habari ni za Wasafi, Zuchu, Dayamondi, Yanga na Simba. Wakitaka real news lazima waangalie station za Kenya.
 
Wwe jamaa ni mpumbavu, hizi vitu unaongea ni taaluma za watu, kwa historia ya lugha ya kiswahili mpaka tunavyokuanacho hiv sasa ni dhahiri shahiri miji ilianza kabla ya lugha..

Ever heard of pidgin or creole .? Zamani kulikuwako na lugha zinaitwa lugha za kibantu, all the communities were speaking different kutoka jamii moja na nyingine, walivyokutanishwa na biashara be it batter trade or whatever, ndio kupatikana kwa hizo zenye wanaita pidgin (language generated after the interaction of two different language speakers) taratibu kiswahili kikaanza kupatikana baada ya kuokoteza misamiati mipya from all those different speakers, the ikapatikana creole (the developed pidgin)

Baadae kukomaa kwa lugha iliyopatikana kutokana na interaction za watu tofauti zilizosababishwa na biashara n.k then the first developed kiswahili speaking community ni Kilwa.

Why we claim kiswahili is ours (Tanzanian language)

Studies zimefanywa na wasomi, maneno mengi ya kiswahili 60% ni kiunguja, 30% kiarabu, 10% of kiswahili words ndio kimetoka kwenye hizo dialects zingine.

Shida ni elimu yako ndogo, halafu unataka kujadili vitu huvijui, wewe ni mpumbavu. 😂😂😂 NairobiWalker tuliza tako wewe ni underdog.
Leta hizo studies tujisomee
 
Back
Top Bottom