Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa inachekesha sana kuona mjinga akiita wenzie wajinga bila kuona ujinga wake. Nani kakwambia lugha huanzia mjini? Hivi hujui lugha ndio chanzo cha mji? Hivi hujui miji mingi duniani imeanzishwa na lugha? Niambie wee Msukuma, kisukuma kimeanzishwa na mji gani kama unadhani mji ndio huanzisha lugha? Hizo Kilwa na Zanzibar zote zimeanzishwa na lugha ya Kiswahili. Bila Kiswahili hakungekuwa na Kilwa wala Zanzibar.
Ujinga ujinga tu. Kwahiyo Lamu ndio walioleta Lahaja zote zilizipo za kiswahili?
 
Kwa maelezo ya huyo mpumbavu, inaonyesha wazi hajui chochote kuhusiana na lahaja.
Tatizo la jamaa huyo anadhani kiswahili kilianza. Yaani mfano Kama wimbo fulani unaanza kuimbwa na mtu fulani au jamii fulani.

Mimi nilimweleza tangu juzi, kiswahili Kiliibuka (emerged), hakikuanza (started).

Nilimuuliza kama kilianza inabidi atuambie ni nani aliyekianzisha.

Lugha huwa haianzi, lugha inaibuka

Na mpaka sasa kiswahili bado kinakua. Inazaliwa misamiati mbalimbali na baadae kuwa maneno ya kawaida kabisa.
 
Tatizo la jamaa huyo anadhani kiswahili kilianza. Yaani mfano Kama wimbo fulani unaanza kuimbwa na mtu fulani au jamii fulani.

Mimi nilimweleza tangu juzi, kiswahili Kiliibuka (emerged), hakikuanza (started).

Nilimuuliza kama kilianza inabidi atuambie ni nani aliyekianzisha.

Lugha huwa haianzi, lugha inaibuka

Na mpaka sasa kiswahili bado kinakua. Inazaliwa misamiati mbalimbali na baadae kuwa maneno ya kawaida kabisa.
Hizi ni vitu za darasani Bro, ajabu kuna kilaza mmoja anajitokeza kujadili na yeye eti 😂😂😂

Anvyodhani labda kuna watu walitokea tu wakawa wanaongea kiswahili😂😂

Studies zinaeleza ya kwamba kulikuwako na more than 15 dialects zenye zili contribute the kiswahili that we speaking nowdays.

Huyo mbwa wa mombasa anasema watu wa kabila la mijikenda ndio wenye lugha ya kiswahili.. 😂😂 hii inaonyesha wazi jamaa hajakaa darasani kusoma chochote kinachohusiana na historia ya lugha, aliropoka tu.
 
TANZANIA ASS OF GOD, MAFINGA 🤣 🤣 🤣 🤣

Image
 
Butcher iko hvi alaf nyama za kuliwa na binaadamu zinapigwa na vumbi, wadudu wakila Aina wanagusa nyama ya kuliwa na binaadamu alooo 🙌🙌🙌🙌🙌

Kwenye utu na kuthamini mkenya ni kama anasa kubwa Sana

View attachment 3074010View attachment 3074011
Huwezi amini kwenye masoko Tanzania Butcher hazina mpinzani kwenye usafi.

Sometimes nashangaa kama kuna sheria ya mabucha kua masafi kama pharmacy plus Wauza maziwa.
 
Back
Top Bottom