Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
DP world wameamua kumaliza Dar Port😂🤣🤣👇👇👇
View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1825771469516767526
View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1825771469516767526
Sasa Tanganyika hata iwe adui ya Kenya tutapoteza nini? Wacha kujiliwaza bongolalaTulikuwa tunawachukulia kama ndugu zetu, but now tumeshawajua kuwa ni adui zetu no. 1
Tutawashughulikia kila angle
Lakini unajua majina ya governors wetu hadi na manaibu wao. Sisi huku hata vice president wenu hatumjui Kwa jinaNi akili tu ya mwenye decoder. Anaamini kuna Wakenya Tz wataangalia channels zao. Nina DSTV hata sijui channels za Kenya ziko namba gani.
You assume. I only know Ruto and Gachagua, and that gangster Joho or something like that.Lakini unajua majina ya governors wetu hadi na manaibu wao. Sisi huku hata vice president wenu hatumjui Kwa jina
Timu ya Kenya ya wanawake imefanya nini kama sio kutoa sare na katimu kadogo cha Sudan kusini!??They only managed because there were no Kenyan teams in the competition due to FIFA ban😂😂🤣
Uliwahi kuona kihistoria Real madrid akitolewa preliminary stage Uefa au akifungwa nje ndani!??Hata Real Madrid hugungwa na timu za relegations😂😂🤣😂.
Nyef nyef nyef… I only know of Gachagua, Ruto and John😂🤣😂You assume. I only know Ruto and Gachagua, and that gangster Joho or something like that.
Mkuu bado unasimamia hio kauli? Nimesikia uchaguzi unaendelea bila Raila....
I only know Ruto, Gachagua and Joho😂😂🤣👇👇You assume. I only know Ruto and Gachagua, and that gangster Joho or something like that.
Naona Sonko umekuja kujitetea.
Hata Burundi ilifunga Spain katika michuano ya kombe la dunia la watoto.So watanzania wanajua nini kuhusu Olympics?😂😂🤣.
Kenyan schools are raping people kule Uganda😂🤣👇👇
View attachment 3075092
Wewe unajua all politicians from Kenya😂😂🤣👇👇You assume. I only know Ruto and Gachagua, and that gangster Joho or something like that.
Kenyatta mtoto wa mjini sana.
Unadata wewe.Nikama decoder zao zinaonyesha channels za Kenya, sijawai kuona any decoder in Kenya inaonyesha any channel from Bongoslum.
Nobody watches Azam Tv in Kenya.Unadata wewe.
Kenya hakuna AZAM TV!??
-Sinema zetu
-Azan two
-Azam one
-Azam sports 1-4 sio channel za Tanzania!???
Ona hii mbusi ya kiambu.
So in East Africa which country inatuweza in rugby? Ama unaongea tu because you have freedom of speech?Hata Burundi ilifunga Spain katika michuano ya kombe la dunia la watoto.
Je tukija katika michuano mikubwa Burundi anaiweza Spain!??
Leo tulete Spain ya kina Lamine Yamal na Ansu Fati Burundi inatoboa?
Ushaiona Gor ikitolewa Preliminary stage?😂😂😂Uliwahi kuona kihistoria Real madrid akitolewa preliminary stage Uefa au akifungwa nje ndani!??
Makalio wewe.
So Vihiga Queens ni timu ya Spain?😂😂👇👇Timu ya Kenya ya wanawake imefanya nini kama sio kutoa sare na katimu kadogo cha Sudan kusini!??
Kenya hata mngeachiwa hata kama msingekua na FIFA ban kuifikia TZ katika vilabu msingeweza.
Waulizeni DR Congo ambao ndio walikua wakiongoza ukanda huu ni nini tunawafanya sasa hivi.
Je na hao walipewa FIFA ban!???
Hamuishiwi visingizio.
To be honest I don't know anyone with an Azam decoder. Hata hio dish yao sijawai kuona in any place in Nairobi.Unadata wewe.
Kenya hakuna AZAM TV!??
-Sinema zetu
-Azan two
-Azam one
-Azam sports 1-4 sio channel za Tanzania!???
Ona hii mbusi ya kiambu.
I have been to most areas in Nairobi but I have never seen Azam decoder anywhere.To be honest I don't know anyone with an Azam decoder. Hata hio dish yao sijawai kuona in any place in Nairobi.
By the way deputy president wenu hua nani?You assume. I only know Ruto and Gachagua, and that gangster Joho or something like that.
Dr Philip Mpango.By the way deputy president wenu hua nani?