Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,393
- 5,800
Hivi ni kweli kwamba mtuhumiwa wa maiti za Kware, Collins Jumaisi Khalusha, ametoroka mahabusu?Middle class culture
Hii sector mtupe maua yetu mapema
View: https://www.facebook.com/share/p/Kh7Tp45GG2gAdEcD/?mibextid=xfxF2i
Tuoneshe kama hiyo nje ya dar is slumInfrastructure zenyewe ndio hizi mnazotaka kushindana na Tanzania? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kitengela imekuwa Nairobi sasa?So many malls within the Nairobi metro hata zingine sijawai zisikia.
![]()
Angalia hapo kabla lami haijaanza, Hapo ndio wanapopata lile jina lao lingine TOPESTANJamani hawa kundurenda ni wa kuhurumia hivi huku kwetu boda boda na ukorofi wao wanaweza kufanya hivi kweli barabarani kweli
View attachment 3074820
CGTN Africa ni Kenya tu inaongelewa mpaka najiuliza si iitwe CGTN Kunyalad?
Advantage of hosting their Multinational Office, lazima wa highlight positive news.CGTN Africa ni Kenya tu inaongelewa mpaka najiuliza si iitwe CGTN Kunyalad?
kunyan wenyewe wanaweza kukuambia hiyo ni middle class culture 😂Jamani hawa kundurenda ni wa kuhurumia hivi huku kwetu boda boda na ukorofi wao wanaweza kufanya hivi kweli barabarani kweli
View attachment 3074820
Karau kashachukua kitu kidogo 🤣🤣🤣Jamani hawa kundurenda ni wa kuhurumia hivi huku kwetu boda boda na ukorofi wao wanaweza kufanya hivi kweli barabarani kweli
View attachment 3074820
Hawa nyangau wana culture nyingi tuu.View attachment 3074863
Hii culture ya nn?
Ndege ni asset na inaongeza capital ila deni ni liability. Government funds should be invested wisely it is better to let the airline die and start afresh than pumping billions to make it stay afloat.ATCL ikinunuliwa ndege na hazina ya kitaifa ni swa lakini GoK ikilipa Deni ambalo watalipwa kupitia shares sio swa 😂😂😂😂
Kwani ATCL ni kampuni ya nani?Anapiga kelele yet ATCL has no single plane. Wananunuliwa ndege na serikali yet they still make losses😂😂🤣😂