ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Why are you always looking for Kenya's approval? Yani mmezungukwa na nchi nane ila ni Kenya tu inayowasumbua kisa haishighuliki na mambo yenu?😂😂Vyombo vya habari vya kenya haviwezi tangaza hii habari.
Wao wanatangaza mabaya tu ya Tanzania ili wazidi kuwapumbaza wakenya na kujiona they are far better in the region😂
subiri Treni ya umeme ikwame uone inavyoandikwa habari kwa kuirudiarudia siku nzima
Make no mistake vumbistan wana consume sana media zetu, unapata wanaangalia habari za Citizen badala ya TBC. Unakuta wanajua county zetu zote 47 na majina ya ma governors. Kuna siku citizen waliweka headline ya ukaidi wa magufuli dah balaa, embassy yao walikuja na hasira kwamba wamedhalilishwa 😂😂Why are you always looking for Kenya's approval? Yani mmezungukwa na nchi nane ila ni Kenya tu inayowasumbua kisa haishighuliki na mambo yenu?😂😂
Hivi hii ngoma amepiga non-stop mpaka Zanzibar??Ila ruto mjanja Sana 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Kaona ashushe presha kabla mambo haijachemka
View attachment 3074741
Tulikuwa tunawachukulia kama ndugu zetu, but now tumeshawajua kuwa ni adui zetu no. 1Why are you always looking for Kenya's approval? Yani mmezungukwa na nchi nane ila ni Kenya tu inayowasumbua kisa haishighuliki na mambo yenu?😂😂
NdioHivi hii ngoma amepiga non-stop mpaka Zanzibar??
Uchafu
Nikama decoder zao zinaonyesha channels za Kenya, sijawai kuona any decoder in Kenya inaonyesha any channel from Bongoslum.Make no mistake vumbistan wana consume sana media zetu, unapata wanaangalia habari za Citizen badala ya TBC. Unakuta wanajua county zetu zote 47 na majina ya ma governors. Kuna siku citizen waliweka headline ya ukaidi wa magufuli dah balaa, embassy yao walikuja na hasira kwamba wamedhalilishwa 😂😂
Ni akili tu ya mwenye decoder. Anaamini kuna Wakenya Tz wataangalia channels zao. Nina DSTV hata sijui channels za Kenya ziko namba gani.Nikama decoder zao zinaonyesha channels za Kenya, sijawai kuona any decoder in Kenya inaonyesha any channel from Bongoslum.
Hapa Gavoo iongeze Dreamliner moja na Max 2, then waache kununua waanze kukodi kulingana na demands. With 7 Bombadiers (For Local Routes) 4 Airbuses (for Regional Routes) 4 Maxi for (Middle East), 4 Dreamliners (for Far East, Europe and America) and 1 Freighter sidhani kama watashindwa kubreak even.Watasema tumenunua used 🤣🤣🤣🤣
View attachment 3075182View attachment 3075183View attachment 3075185
Nenda kalilie hukooooooooNimeshajiridhisha wewe ni mwanamke